Recent content by mlyapella

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mgiriki aiweka ‘Serikali’ mfukoni; Ana Uraia Feki wa Tanzania; Aingia Selous kuua Wanyamapori

    Tutake tusitake hadi 2015 nchi itakuwa haina kitu cha kujivunia. Tutake tusitake mpaka mwaka 2015 nchi itakuwa haina kitu. Wanyama watakuwa wametoweka, amani hakuna, maendeleo yatakuwa nyuma. Serikali itakayorithi bila kujali ni ya chama gani itakuwa na hali ngumu ya kulipa madeni...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi tunakwenda wapi?

    Mapangaji wa safu ya uongozi ni Bwana Mkubwa mwenyewe. Gharama za kuchaguana kwa uwahiba, uanamtandao na undugu unaligharimu taifa. Tusikwepe kuwa wawazi kwamba Bwana mkubwa aachie ngazi. Vinginevyo hadi mwaka 2015 nchi itakuwa na hali mbayaaaaaaaaaaaa mno.
  3. M

    JamiiForums Tanzania The ICC and its best candidates from Tanzania...

    Sijaona tuhuma zaidi ya kueleza kwamba wapelekwe Mhakama ya Kimataifa. Kwa makosa gani na kama ni makosa ya jinai wapeleke Police kwa maelezo mazuri na tuhuma wapelekwe mahakamani.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tangu Awali nilipata shida kuita serikali ya wa CCM Dhaifu kwa sasa imenibidi

    Naamini kwamba serikali yetu imefikia kiwango kikubwa cha kutowajibika. JK na sesikali yake wanamaliza mhula wao na kwa maana hiyo hawajali lolote linolendelea zaidi ya maslahi yao binafsi. Kama wananchi kupitiia Bunge bila kujali itikadi ya vyama na kuweka mbele zaidi matatizo na maslahi ya...
  5. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA andaeni taarifa mbadala ya mafanikio ya serikali ya CCM

    Magamba wateleza utekelezaji wa ahadi mbalimbali na kujisifu bila kueleza mapungufu. CDM tafadhali waambieni wananchi kwamba ufisadi ulikithidhiri ndani ya CCM, mipango mibovu, budget tegemezi n.k ndivyo vilivyotufikisha hapa kwa wananchi kuendelea na umaskini. Kwa maana hiyo maendeleo...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mwandosya anatutia hasara ya mamilioni kwa mwezi

    Mkuu wa nchi anajua alichofanyiwa Professor na ushenzi wa siasa isiyoadilifu kudhuru badala ya hoja.
Back
Top Bottom