CHADEMA andaeni taarifa mbadala ya mafanikio ya serikali ya CCM

CHADEMA andaeni taarifa mbadala ya mafanikio ya serikali ya CCM

politiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2010
Posts
2,376
Reaction score
1,519
Moja kati ya sifa kuu ya chama makini ni kuweza kujibu hoja ON TIME, wakati ccm wanajiandaa kuja na ripoti yao
ya mafanikio walioleta, chadema kama chama makini lazima kufuatilia hoja zao na kuja na hoja mbadala za nguvu.

kwa mfano, kama watakuja na hoja ya mafanikio yao ktk kukabiliana na rushwa, cha msingi ni chadema kama chama
makini kuja na namba zinazoonyesha ukweli ni upi.

i hope watu wa vyombo bado wanaamini ktk equal time kutoa nafasi sawa kwa kiongozi wa upinzani kutoa hoja mbadala
na pale wanapostahili pongezi basi wapewe pongezi kwani huo si udhaifu bali ni dalili ya kukua kisiasa na ni ustaharabu.
 
Hawajawahi kuunda serikali ambayo wataitolea taarifa. Upuuzi at its best.
 
Hilo nalo jambo, lakini pia CDM inabidi watayarishe ahadi zote alizotea JMK kwenye kampeini 2010. Halafu waoneshe ngapi ZIMETEKELEZWA, ngapi ZINATEKELEZWA na ngapi HAZIJATEKELEZWA. Baada hapo wafanye na SWOT analysis kupima utendaji wa serikali ya JK. Pia kwa kufuata vigezo vya SMART je ahadi hizo zitatekelezwa by 2015?!.

Hapa ndiyo wachumi namba moja akina Mwingulu Nchemba wafanye kazi.
 
Magamba wateleza utekelezaji wa ahadi mbalimbali na kujisifu bila kueleza mapungufu. CDM tafadhali waambieni wananchi kwamba ufisadi ulikithidhiri ndani ya CCM, mipango mibovu, budget tegemezi n.k ndivyo vilivyotufikisha hapa kwa wananchi kuendelea na umaskini. Kwa maana hiyo maendeleo wanayijitangaza ni utapeli mtupu na kama uadilifu na mipango mizuri tungekuwa mbali sana na pengine bila kuwa na bajeti tegemezi kwa sababu wamewakumbatia matajiri waliolipa kodi na papo hapo hata kodi hiyo ndogo inayopatikana bado inaliwa na mafisadi na wajanja.
 
Back
Top Bottom