Recent content by Mlulajr

  1. Mlulajr

    Nini Athari za Social Medias?

    Ungepita 2 huoni ka umejipa kazi?
  2. Mlulajr

    Nini Athari za Social Medias?

    Kweli kabisa unakuta mwajiri wako anakuchek kwny network zako zote, na asilimia kubwa ha2zi2mii in positive ways.
  3. Mlulajr

    Nini Athari za Social Medias?

    Asante nmejifunza ki2 kaka
  4. Mlulajr

    Nini Athari za Social Medias?

    Hii ni kweli, vjana weng 2mekuwa wa2 wakushinda kwny mitandao ya kijamii kuliko kujishughulisha na mambo ya maendeleo
  5. Mlulajr

    Nini Athari za Social Medias?

    Kweli kabisa ndugu
  6. Mlulajr

    Kwa Thomas - Kimara bucha

    Uko sahihi sana kaka, mi nmezaliwa bucha na nmekulia bucha huyo jamaa anatoa historia za vijiweni
  7. Mlulajr

    Kwa Thomas - Kimara bucha

    Acha uongo
  8. Mlulajr

    Nini Athari za Social Medias?

    Habari za wakati huu ndugu zangu, Leo nmekuja kwenu nikijaribu kuhoji athari za social medias katika maendeleo ya vijana. Tumeona faida nyingi 2 za Social Media (Mitandao ya kijamii) Ila leo nngependa 2angalie upande wa pili wa athari za mitandao ya kijamii katika maendeleo ya vijana. Je zipi...
  9. Mlulajr

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    Simba mzee hana chake, na hapati kitu
  10. Mlulajr

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    Hizi kura za ndio na hapana zinatutesa sana, nadhani serikali inatakiwa kutafuta mfumo mzuri wa upitishaji wa hoja badala ya huu wa ndiiiiooooo au hapaaanaaaa
  11. Mlulajr

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    Safi sana umetoa clear answers hadi nmefurahi....uko njema.
  12. Mlulajr

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    Kwakweli inakatisha tamaa kuona bunge ambalo tunalitegemea kwaajili ya kutunga sheria nzuri ambazo zitakuwa na tija kwa mustakabali wa taifa zima badala yake mawazo ya maana yanapuuzwa na watu kusubiri kujibu tu ndiiiiiioooo au hapaaaanaaaa.....hii inauma sana
  13. Mlulajr

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    Hajatetea pornography bali muswada haukudefine pornography chafu ni zipi? Sasa ww utamtia hatiani nani pasipo kudefine kifungu husika cha sheria?
  14. Mlulajr

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    Huu ni uzalendo wa hali ya juu.
  15. Mlulajr

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    Hhaahahaha....kweli kabisaaa
Back
Top Bottom