ok kwenye top cover kweli naona kuna ubich,na pia nikiipaki nakuta chini kuna matone ya oil chin,shida ni nn maana mafund wangu wanasema wafanye over whole ya engine na wengine wanasema nisifanye hivyo ,ndiyo maana nimekuja hapana kupata ushar na jua huku kuna wataalamu angalau nitabata mwanga...
habar wana jamvi?
naomba msaada wa ushauri wa kiufundi,nina gar toyota noah engine s3 inatatizo la kupunguza oil unapotembea umbali mrefu kuanzia km 300 hv,ndiyo utagundua hilo tatizo.Lakin kwa safar za karibu oil inabaki kwenye level ya kawaida,nimejaribu kufunga ring mpya still tatizo...
nafikiria sana nakosa jibu,kama kweli tuhuma za EL nizakutunga mbona kakaa kimya ajasema ukweli na aliahidi kusema ukweli wote kuhusu richmond?mpaka sasa anazunguka kwa kampen lakin kimya kabisa hata ufisadi ubadhilifu wa mali za uma hazungumziii hapa naanza kupata shaka kidogo juu ya usafi wa EL
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.