Wafuasi takribani 1,000 wa CHADEMA Arumeru wahamia ACT-Wazalendo

Intelijensia ya CDM ni highly sensetive kama CIA ya USA.Huyu Bwana SHAMI aliwahi kuishi kijiji kimoja kimo Wilayani KAHAMA mkoani Shinyanga, kijiji hicho kinaitwa KAKOLA ulipo mgodi wa Dhahabu wa BULYANHULU GOLD MINE.Ndugu Shami alianzisha shule ya Chekechea lkn baadae akaipachika jina la kituo cha kulelea watoto yatima na watoto wanaoishi katika mazingira magumu, Ndugu shami kwa kushilikiana na mkuu wa wilaya ya KAHAMA kipindi hicho alituma maombi ya Tsh.200,000,000/= kwenye mgodi wa Dhahabu wa BARRICK BULYANHULU GOLD MINE Ambao sasa hivi unaitwa ACACIA GOLD MINE, kwa kutambua unyeti wa suala la watoto yatima mgodi ulimpa kiasi cha Tsh.80,000,000/=.Baada tu ya kupata Pesa hizo bwana shami alipotelea kusiko julikana na hakuonekana tena pale kijijini KAKOLA na kile kituo kikafa na jengo lake kubadiliwa kuwa ghara la kuvundikia ndizi.Hivyo basi wananchi wa ARUMELU wanatakiwa kuwa makini saaaaaaaaana na huyo kiumbe hafai.
 
Hama hama inaendelea
 

Attachments

  • 1440500991216.jpg
    1440500991216.jpg
    86.5 KB · Views: 259
Wewe mtoa mada ni CCM halafu usifikiri kudanganya watu hapa kutabadilisha msimamo wetu,WATANZANIA TUTAMCHAGUA LOWASSA WA CHADEMA NA WAGOMBEA WA UKAWA.
 
Dr Slaa, wewe u mzalendo wa kweli..! Uliposema Lowasa fisado, kweli ulinaanisha na umekuwa radhi kulala njaa kuulinda ukweli huo. Lakini usijali, Tinga tinga linaanzisha mahakama ya majizi na mafisadi, kwa hiyo yeyote an anayejitapa mtaani kuwa wampeleke mahakamani basis mahakama hiyo inakuja, akajiandae kunyea debe.

Umemaliza Mmawia vip
 
Last edited by a moderator:
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom