Recent content by mlonge oleifera

  1. M

    Natafuta partner wa kufanya nae biashara

    Kama unamtaji njo nikupe kitengo katika kampuni yangu umiliki 80% ya kitengo cha usafirishaji Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Ushauri kwa wapinzani; toeni ushirikiano kwa serikali

    Kwani shida mi hoja imetoka wapi au hoja inajengaje nchi? Wakina kafulila wakina zito wakina slaa mbona hoja zao zimetekelezwa ulikua huko marekani au Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Ushauri kwa wapinzani; toeni ushirikiano kwa serikali

    Njoo tujadiliane mkiwa hapa acheni mihemko mukiwa hamupo tuliopo tunaunga mkono hoja lugha ya staha ni jadi yetu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Biashara ya Kukodisha Mitambo Tanzania

    Inchi ina ratiba ya Maji ya visima virefu kila kona je wajua ? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Kwenye biashara kinacho takiwa ni kujua unatafuta pesa ya Aina gani?

    Umenipa kitu asante Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    BIDHAA GANI YENYE SOKO LA NJE NA NDANI

    Kilimo cha Mlonge na viwanda vyake ,mazao yake ni dawa virutubishi urembo na fuel Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Kwanini CHADEMA wanashikwa na Askari, wanamlaumu Rais?

    Kwanza mbowe hana mamlaka kama ya raisi Post sent using JamiiForums mobile app
  8. M

    Tundu Lissu: Sielewi kwanini Ngeleja hajakamatwa na Polisi

    Ninachoona hapa Lowasa alienda kwao kuwahadaa na kulipiza kisasi chezea Masai we Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  9. M

    Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

    Je naweza kulima kwa ajili yako kama in biashara ya kudumu? Je kwa sasa kg shs ngapi?
  10. M

    Quality school sweaters

    Yap I am in Mbulu and am owner of a private school can we make a deal
  11. M

    Natafuta mbia pamoja na ushauri

    Nashukuru wadau kwa ushauri wengine kwa kupitia manake ulivutiwa hatakama hukushauri waweza kumuelezea ambaye hayuko hapa jf mwishowe nikapata suluhisho la Baraka na haraka
  12. M

    Vitendo SACCOS - kukopeshana bila riba

    Simanishi ghost Namaanisha kama taasisi au kikundi mkuu
  13. M

    Vitendo SACCOS - kukopeshana bila riba

    Je naweza kujiunga kama entity
  14. M

    Ni kwanini watusi hutumia kigezo cha "pua na macho"kutambuana?

    Ni kweli so Watusi Bali watutsi ukihiwa kutokua mtanzania in ngumu kuelezea pasipo shaka uraia wako kwani kuzaliwa tu si kigezo cha uraia yalinikuta nilitumia vipengele Vingi vya sheria kuthibitisha na kupoteza muda mrefu
  15. M

    Ni kwanini watusi hutumia kigezo cha "pua na macho"kutambuana?

    Mi ni mtusi asiyejificha sijawahi kujiita muha au muhangaza lakini naelewa kwa nini wanaogopa kujitambulisha hivyo ni waoga wakujieleza mbele ya sheria
Back
Top Bottom