NHIF inatumika kipora fedha za wafanyakazi tu,Haina maana yeyote
Ukifuatilia utakuta serikali imekopa bilions.wafanyaje wanaondoa sawa muhimu wa survive.
Viongozi ndio wamewasaliti wanachama,haiwezekani tunachagua ambao sisi tunaona wanatufaa kutuongoza afu mnakata majina bila sababu za msingi na hazipo wazi. kwa maslahi yenu.yaaani ukiweza kuwainga viongozi wa chama WILAYA na mkoa wanakupa Alama za juu mnakata tuliwachagua kwanyw Kura za maoni...
Kwani uktoza dola 100 ndio haitatumika kubeba bomu.
Wenye Nia hiyo hata zaidi ya dola 1000 watalipa kutekeleza azma yao.tatizi vijana wetu tunaowatumia majukwaani wataweza?
Tatizo mpo jagwani haujui lolote kuhusu.china nako mafuriko ya kumwaga ni maskini.ardhi yote yenye rutba na mvua amechukua familia za Kenyatta,Raila, Charles Njonjo,Gedion Moi ,Rutto wakishirikiana na wazungu.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.