Nimesoma stories za wengi na kwa hakika zimenifurahisha na pia kunifundisha.
Ngoja nami niweke baadhi ya visa vya kula tunda kimasihara kwa upande wangu. Ninazo nyingi. Leo nianze na hiki:
Miaka mitano iliyopita, katika moja ya eneo jijini Dar (naomba nisilitaje pengine mhusika yuko humu)...
Kwa mashtaka yaliyosomwa leo tarehe 23 Agosti 2021 ni wazi serikali imejipanga ipasavyo kwa kesi hii ya Mbowe ya ugaidi.
Serikali kuwa mashahidi 24 na vielelezo 19 siyo mchezo. Sasa tunafahamu kwa nini IGP alilizungumzia hii kesi kwa kujiamini sana na kueleza kuwa Mbowe kama ni mkristo mkweli...
Kwa kweli Babati umezidi. Naungana na wote waliokuponda humu. Umezidi kujifanya unajua kila kitu na ushabiki kama wa zezeta. Majina uliyopewa na USSR, akilinene na wengineo unazistahili. Badilika.
Unatumia nguvu nyingi kujenga hoja zisizo na nguvu. Kwamba nchi zote ambazo zimetangaza kuwahukumu magaidi hazina
Unatumia nguvu kubwa kujenga hoja isiyo na nguvu. Kwamba nchi zote zilizotangaza kuwahukumu magaidi hazipati wawekezaji? Kaulize Marekani, na huko Kenya alikokimbilia gaidi Mbowe
Kama ni hivyo kweli na Chadema mnaamini hivyo, kwa nini mna lia lia aachiwe kwa huruma ya Rais. Acheni gaidi afungwe miaka 20 jela ili awe mshindi. Ndiyo mtajua kama kufungwa ni ushindi au la. Na wewe andaman a ufungwe ili ukajiunge naye uwe mshindi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.