Recent content by mlimamkuu

  1. M

    Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

    Ndio maana!mi kila nikiamia nyumba ngeni,mtaani nawaona kabisa wanakuja mkaka sasa nimewakwepa 30.WENGINE UNAONGEA NAYE TU ANAJIONGEZA kama kukuonea aibu ya uwongo
  2. M

    Kwa wakubwa tu

    nilishakua kitambo sana mboana
  3. M

    Kwa wakubwa tu

    nilishakua kitambo sana mbona
  4. M

    Kwa wakubwa tu

    Mwenzenu nina tatizo siwezi kukaa na mwanamke yoyote katika mapenzi nikimchoka namwacha kama utani.Tatizo hili limekuwa lininitokea mara kwa mara kila msichana nimpendae nikimchoka namwacha tu,naomba ushauri nifanyaje hili hali hii initoke kwani nikimwacha naanza kumkumbuka tena kwani nipo...
  5. M

    Wanaume :tuambien kna dada mnapenda tukiwa'approach au tuendelee kusubiri mje

    JIBU RAHISI Ukimtega mtu mtengeNEzee mazingira
  6. M

    Utamu wa ngoma ingia ucheze kwa stepu

    watu wengi wanalalamika kwamba wanatendwa katika mapenzi.Dawa ni kucheza kwa step na uliyeingia naye,ukishindwa kucheza kwa step baba/mama umepotea. nina maana mama jitume jitume mtege mmen kimapenzi mpe vyombo.mkipata vyombo usiku mpe na asubuhi nakwambia huyo haruki kirahisi maneno ya...
  7. M

    Naomba mnisaidie wadau!

    Mwenzio yalinikuta mwaka flani nilikuwa na demu kama wewe akaanzisha vituko kumbe tunashare.nikamwacha kwa kumwambia sikutaki nimekuchoka, akatokea kunichukia mpaka leo.naona dawa yao kuwaacha kimyakimya
  8. M

    Guys mnaoacha girls wenu kimya kimya

    Jamani bora umwache demu kimyakimya.MWENZENU YALINIKUTA NILIMWACHA DEMU MAHALI FULANI ANANICHUKIA SANA MPAKA NAFEEL BADY.
  9. M

    Nani yuko macho tupige stori?

    Mimi nimelala
  10. M

    Ni rahisi mno kutongoza safarini

    Katika utafiti nilioufanya safari mbalimbali nimegundua 1.Ni rahisi kumtongoza mwanamke na kulala nae mnapofika eneo mlilokusudia kwenda 2.Pia ni rahisi kwa mwanamke kupata mchumba ndio sababu inayosababisha wao kuwa rahisi kukubali. MENGINE NI YAPI?
Back
Top Bottom