Recent content by Mledi haswa

  1. M

    Matokeo mabaya yasababisha Dodoma Jiji kumfukuza kazi Kocha Mbwana Makata

    Tatizo kubwa team imeingia vitu vitatu vibaya , siasa , usimba na uyanga , dodoma ni timu nzuri ila hujuma ziko ndani na viongozi ndo tatizo
  2. M

    Nahitaji Gari zifuatazo, kama unauza tuwasiliane

    Nahitaji body ya toyota coaster box au mayai isiwe fupi offer itategemea na ubora wa body.
  3. M

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Shukran, ntakucheki kwa hiyo namba, na engine ya toyota hiace 5l complete ina bei gani?
  4. M

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Brother nahitaji spoiler ya nyuma ya toyota rumion.
  5. M

    Betri Original ya Tecno C9

    Nenda carlcare service center, Itakucost kama 25,000 ila watakuwekea og, uhakika wao ni kwamba tatizo likijirudia unarudi tena, kioo kujibonyeza kwenye cm za tecno hiyo ni touch imekufa.
  6. M

    Nataka kuanzisha biashara ya simu kama za Makumbusho Mikoani

    Nairobi watu wana njia zao na mizigo mipya tunaiona sokoni kila leo
  7. M

    Banda la Chakula linauzwa

    Kodi hata kwa mwezi mmoja hua anapokea , ulinzi 5000 kwa mwezi
  8. M

    Banda la Chakula linauzwa

    500k ni pesa kubwa lakini hapana mkuu
  9. M

    Nataka kuanzisha biashara ya simu kama za Makumbusho Mikoani

    Nikupe mfano kwa mwanza kuna soko kubwa sana la simu used gorofa la sweet corner , hapa kila aina ya simu used utapata iPhone, Samsung, vivo, oppo,redme na takataka zote, hapa wanachukulia Nairobi na usafiri wa Nairobi na mwanza ni rahisi sana, profit yake ni kubwa mno tofaut na wanaouza sim za...
  10. M

    Banda la Chakula linauzwa

    Hesabu nzuri ni kwa trei za mayai , hua nauza 4 kwenda juu kutegemeana na siku , kwa 500k hapana mkuu , mwisho 1.5
  11. M

    Banda la Chakula linauzwa

    Hilo hapo kwa muonekano wa ndani
  12. M

    Banda la Chakula linauzwa

    Banda bado lipo wadau , nicheki hewani tufanye biashara
  13. M

    Banda la Chakula linauzwa

    Banda liko MWANZA , chuo kikuu cha SAUT (MALIMBE)
  14. M

    Banda la Chakula linauzwa

    Yeah ni 45,000.
  15. M

    Banda la Chakula linauzwa

    Naweka , mtandao una shida naona
Back
Top Bottom