sioni mantikia ya hoja hii. Wabara karibu watapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe. Washaanza chadema vs ccm.zanzibar hali shwari tusitake kuwaingiza zanzibar matatizo
hahah. Kulalamika ndio asili ya watz. Mbona waislam wazanzibar hawalalamiki? Bunge linalalamika. Chadema wanalalmika. Madaktari wanalamika. Walimu wanalalmika? Hii ndio tz. Hata wakiristo wanalalmika?
my take: Hapa wafuasi wa chadema wataungana na ccm. Likija swala madai ya waislam watz. User wa chadema wanaanglia zaidi ya dini zao kuliko utaifa.
Tuanze mjadala
hilo ndio raha za waislam . hawachukii wakirsito. ndio maana mwalimu anakupenda. lkn wewe moyoni mwako Chuki kwa malimu huyo imekukaa. kwa kuwa ni muislam. na ulitamani usomeshwe na diniyako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.