Weww huna tofauti na wale wazee wa Chattizim na Luddite kipind cha rise of mashine and industrialization na wao waliamini kama unavyoamini wewe leo tena wao wakaenda mbali zaidi kwa kuharibu hizo machines
Lakini ni miaka zaidi ya mia tano sasa kama sijakosea walichokihofia wala hata...
Jamii zote zilizoendelea zinafanya hivyo na sio jambo baya kuwapa support watu wa kwenu.
Wahindi, wazungu , wayahudi wajapani wanafanya hivyo kwanini wakifanya wachaga inakua nongwa
Asante kwa kuja na Karibu tena Moshi
Siwezi kuja kununua kwako wakuja ikiwa ndugu yangu ana bidhaa na huduma yenye ubora sawa na wewe
Jaribu kuboresha bidhaa na huduma yako tutakuja tu.
Punguza makasiriko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.