Recent content by Mlamba asali

  1. M

    AI (Artificial Intelligence) inaupeleka ulimwengu kwenye uharibifu mkuu, kwanini nawaza hivi?

    Weww huna tofauti na wale wazee wa Chattizim na Luddite kipind cha rise of mashine and industrialization na wao waliamini kama unavyoamini wewe leo tena wao wakaenda mbali zaidi kwa kuharibu hizo machines Lakini ni miaka zaidi ya mia tano sasa kama sijakosea walichokihofia wala hata...
  2. M

    Kwenye maisha yako ya utafutaji, usije ukarogwa ukakimbilia Moshi

    Jamii zote zilizoendelea zinafanya hivyo na sio jambo baya kuwapa support watu wa kwenu. Wahindi, wazungu , wayahudi wajapani wanafanya hivyo kwanini wakifanya wachaga inakua nongwa
  3. M

    Kwenye maisha yako ya utafutaji, usije ukarogwa ukakimbilia Moshi

    Asante kwa kuja na Karibu tena Moshi Siwezi kuja kununua kwako wakuja ikiwa ndugu yangu ana bidhaa na huduma yenye ubora sawa na wewe Jaribu kuboresha bidhaa na huduma yako tutakuja tu. Punguza makasiriko
  4. M

    Ili kazi zako ziende, omba Yesu kila asubuhi usije sema una gundu

    Kuandika kwa herufi kubwa n sawa na kuongea kwa kupayuka. Kwako mleta mada
  5. M

    Hivi kuna ukweli kuhusu uwepo wa karanga Mti?

    Mule ndani ndio kuna karanga
Back
Top Bottom