Recent content by Mlaleo

  1. Mlaleo

    Hezbollah Waingia ndani ya Galilee Israel na kuteka maeneo

    Habari za kiislam always ni uongo, wao hudai uongo unakomaza imani ya kiislam. Ukweli israel imeongeza eneo zaidi ndani ya Lebanon, mango uliopo hayo maeneo yatakua mali ya israel forever.
  2. Mlaleo

    Papa Leo asema Mungu hawasikii viongozi wauaji!!

    Papa asome vizuri na aache kutumia muda mwingi kuchezea PlayStation 2. Mfalme Daudi alikuwa akiomba kabla ya kwenda vitani na kupigana, na pia ajue Bwana wa majeshi ni nani.
  3. Mlaleo

    Waislamu duniani wawacharukia viongozi wa falme za kiarabu baada ya kuonekana kutokuzingatia mfungo wa Ramadhan

    For the seak of arguments unaweza sema isa ndie yesu sababu aliyeweka story ya mwana wa Mariam Alikuwa ni mjinga haswa Jahili , alidhani Musa na yesu na harun waliishi mji mmoja na same time zone. Akidhani mariam na Musa ni mtu na kaka na wana share baba aitwaye Imraan nchini misri enzi za...
  4. Mlaleo

    Papa Leo asema Mungu hawasikii viongozi wauaji!!

    Papa siasa za dunia haziwezi, mfumo wa kuilinda dunia dhidi ya waangamizi ni mipango ya mungu hawa watchers wapo kabla ya binadamu kuilinda dunia dhidi ya maangamizi, sayari huru iliyobakia ni hii tuiitayo Dunia earth. Issue za yesu ni binafsi ndani ya mioyo, mtaangamia kwa kukosa maarifa. Wake...
  5. Mlaleo

    Breaking news Rais wa bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf adaiwa kuuawa na jeshi la Israel

    Muulize lini Iran kaua waisrael 100 baada ya idf kuua kiongozi wa washia
  6. Mlaleo

    Breaking news Rais wa bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf adaiwa kuuawa na jeshi la Israel

    Shia mnasumbuliwa na uongo, haya tupe kisa chochote cha muiran kuua raia 100 wa Israel tucheke na sisi
  7. Mlaleo

    Waislamu duniani wawacharukia viongozi wa falme za kiarabu baada ya kuonekana kutokuzingatia mfungo wa Ramadhan

    Unaweza onesha hizo bold zako maneno au neno lipi la kiarabu lililoandikwa kwenye hiyo aya ukajiamulia binafsi yako kuwawakilisha waislam katika Surah 4:171. Kumshika muongo wa kiislam ni very simple... yaani Allah anarekebishwa tofauti na aya zake hahahaha... Tufanye issue moja kumaliza utata...
  8. Mlaleo

    Waislamu duniani wawacharukia viongozi wa falme za kiarabu baada ya kuonekana kutokuzingatia mfungo wa Ramadhan

    Ndio akili ya kiislam mnavyotafsiri ili mbakie kwenye ujinga milele... Nakufunze tu jambo la muhimu kwako na wengine ukiona tafsiri ya quran imewekwa mabano ujue wanaficha ujinga wa allah na Mohammad. hakunaga tafsiri ya mabano ni upotoshaji tu. kutaka kunogesha uongo au kuficha ujinga wa...
  9. Mlaleo

    Wakiristo wengi hawawajui vizuri waislamu wa kweli katika vita

    Acha kusikiliza wazushi Imani ya ukristo ni ile ile aliyotuachia Yesu. so kama kuna maswali gonga kwenye mafundisho ya Yesu. issue za Talmud watajibu wao huko
  10. Mlaleo

    Waislamu duniani wawacharukia viongozi wa falme za kiarabu baada ya kuonekana kutokuzingatia mfungo wa Ramadhan

    Unataka uthibitisho wa Quran kumuonesha Yesu ni Mungu mbona rahisi. Quran 4:171 inamtaka Yesu kuwa Ndie Neno(Word - Kun fayakun) la Allah Yesu ni Spirit of Allah inayoendelea ndani ya mwili wa Yesu, Yesu ni Neno (Word Kunfaya kun) Quran 19:19 Mjumbe Jibril alimtokea Mariam akimuambia...
  11. Mlaleo

    Iran kiboko, anapigana ramadhani

    Kwahiyo umeifuta kwalesma? Na mfungo unaendelea
  12. Mlaleo

    Iran yapiga kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Israeli HAIFA

    Punda wa mtume wenu hivi bado yupo mecca?
  13. Mlaleo

    Iran yapiga kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Israeli HAIFA

    Ukireport kutokea msikiti wa mtoro
  14. Mlaleo

    Iran yapiga kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Israeli HAIFA

    Jengo halijaanguka au wameazima rocket za hamas?
Back
Top Bottom