Yaani wewe ulichoandika hamna sehemu uliyotumia akili, ndio utoe maelekezo? Kama huna point kaa kimya matac o . Me nanukuu uislam kuwa pombe ni sahihi haina kosa usiisingizie. Kosa unafanya wewe kama wewe. Kama ni dhambi kwanini itakuwepo pia firdaus.. Napenda mtu atie dosari nachoandika kwa...
Vipi ule Moto Shauritanga vitoto vilipoteza uhai kwa kuungua bwenini Idadi nilishasahau, Pia kuna Bus Realy No Challange lilisombwa na mto likitaka kuvuka daraja lililofunikwa na maji. Tanga Dar nadhani route zake. Kitu kama Isuzu CVR Nakumbuka ule mfumo wa yale mabus kama yameinama mbele
Quran inasema usikaribie Sala ukiwa umelewa subiri Pombe iishe ndio ukasali. Dini Mitihani sana Quran 4:43
Alafu Aya nyingine inasema Pombe inafaida nyingi kwa biashara na wanywaji wana akili sana.
Utagundua Allah ndie Iblis mwenyewe.. maana aya zingine anasema wazi kabisa Pombe ni ya Iblis...
Iran inatumia hoja dhaifu kupiga nchi zingine kijinga jinga. Shabaha zenyewe hawana usikute washalipua Soko lenye waarabu huko...
Tatizo la Iran nadhani wanakunywa Pombe kali za usuri VAT 68 hadi leo hii, so akili zao hata za mjinga zina nafuu.
Israel ainge tu mzigoni aondoshe wajinga wengine...
Usiwe kama Waislam wanaishi kwa assumption tu, wewe wapi umesikia Israel imesema itatumia Nuclear? Hiyo Video hamna popote aliposema hata bomu kubwa , kusema much more Powerful respond haimanishi Nuclear. Israel knows how to make you feel painful .. yaani Mwana ukome Pushing ''The nuclear...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.