Mtoa hoja atajuuuuuta kujifaragua.
Fanya homework yako vyema kisha uje jukwaani na kitu chenye mashiko ama la unaweza kuanza kulalama kuwa unatukanwa ilhali weye ndo uliinvite madongo kwa post bogus
Huyu wa juzi juzi huyu.
Unamkumbuka CHIVALAVALA S. CHIVALAVALA? enzi za salaaam mkulima, na vipindi vinginevyo vya salaam alikuwa anasikika na kuvuma. angekuwa leo hii bado yupo basi jamaa zangu (CCM) wanaopenda watu maarufu wanaokubalika basi wangemuaprochi agombee ubunge....
Mkuu karibu kama mimi ulivyonikaribisha
mie natoka maana dola imekata hapa net cafe
nakusihi tuwapigie kelele hawa jamaa mpaka masikio yazibuke watukaribishe kiheshima zaidi.
Ah nimefurahi kujiunga JF maana nimeisikia sana na sasa nimo ndani
Nachelea kuitwa mbaguzi
Ila nadhani kama kutakuwa na fairness ktk opportunities suala kuwaendeleza black itakuwa tunapiga hatua mbele ya ubaguzi.
Ila wanaowauza weusi kwa weupe ni viongozi wetu ambao ni weusi kwa asili.
RIP wacko Jacko
Anyway kila mmoja ataipita njia hiyo ila kaseshe kutangulia ingawa inasemwa mbeleni kuna raha kuliko za duniani lakini wanadamu wabishi kufa loh!!!
Mungu amweke pema peponi
Jamani hivi nyie vipi wasela??
mbona naingia halafu sikaribishwi???
Nitasusa mimi au mnabisha?????
Kama hamjambo hiyo hainihusu ila nawasalimia tu kwa jina la Amani na Upendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.