Recent content by MlakiKaskazi

  1. MlakiKaskazi

    Sasa ndio Magufuli anaeleweka taratibu

    Kosoa kwa hoja bila kubeza utu wa mtu. Kila kiongozi anapokuwa madarakani ni mbaya kwa nyie wanaharakati. Magu mlimsema mpaka akafa. Nyerere mwenyewe pamoja na watu kuwa wajinga ilimbidi ang'atuke maana ujamaa ulishindwa. Kipindi cha magu mlikuwa mnamiss na kumsifu Kikwete. Who knows what will...
  2. MlakiKaskazi

    Tuulize chochote kuhusu mbao na changamoto zake

    Vip mbao ya mringa ringa kaka ni imara kwa frame na milango?
  3. MlakiKaskazi

    Je, unaweza kumshtaki wakili tapeli TLS?

    Naomba kufahamu yupi bora kati ya wakili wa serikali na wakili anayejitegemea? Kama unahitaji wakili labda una case complicated kidogo yupi atafaa kati ya hao wawili? Msaada please
  4. MlakiKaskazi

    SoC02 Kesho ya Afrika ipo katika mtandao

    Nimependa jinsi ulivyotembea na takwimu, Africa tukiweza kuzitekeleza fikra zetu kwa vitendo tutapaa kiuchumu, hususan kupitia mitandaoni
  5. MlakiKaskazi

    SoC02 Njia za uchumi na furaha ya kudumu

    Sawa kiongozi shukran, nitapitia kisha nitatoa mawazo
  6. MlakiKaskazi

    SoC02 Njia za uchumi na furaha ya kudumu

    Mfano mwingine siku hizi kuna kitu kinaitwa "uchawa" ni kama aina ya upambe iliyoendelea zaidi. Wanaume watu wazima wenye familia wanakuwa na kazi ya kuwasifia wasanii wanaoonekana wameendelea au watu wengine maarufu kwenye kila kitu. Hizo sifa sio bure, wanapata hela na magari (kama...
  7. MlakiKaskazi

    SoC02 Njia za uchumi na furaha ya kudumu

    Kabisa, unakuta mtu anatesa leo, ila baada ya miaka 10 ni kama hujawahi kushika hela maisha yake yote. Wanaishia kuhadithia tu Bora kipato cha kawaida lakini kinacholeta amani na furaha kwenye maisha
  8. MlakiKaskazi

    SoC02 Njia za uchumi na furaha ya kudumu

    Mwanamuziki R.Kelly ni mfano wa mtu ambaye alishindwa kutofautisha kati ya raha na furaha... matokeo yake yupo alipo leo hii ijapokuwa kuna kipindi alikuwa katika kilele cha mafanikio kwenye macho ya wengi! wengine ni wakina Michael Jackson, Whitney, na Chungu ya watu maarufu wa zamani ndani na...
  9. MlakiKaskazi

    SoC02 Njia za uchumi na furaha ya kudumu

    Wakati tulionao jambo kubwa zaidi kwa watu wengi ni kujimudu kimaisha. Kila mtu anaamini ili aheshimike anahitaji kujiepusha kuwa tegemezi kwa watu wengine. Wengi tunaamini kuwa na uchumi mzuri ndio msingi wa furaha maishani. Hili ni kweli japo sio msingi pekee. Swali la msingi la kujiuliza...
  10. MlakiKaskazi

    Kujenga na kumiliki nyumba ya kuishi ni muhimu kwa watu wa kipato cha chini?

    Kujenga ni jambo la msingi sana ila mtu ajenge kwa mujibu wa uchumi wake unavyomruhusu. Biashara ni sawa pia ila chance ya kuzeekea kwenye nyumba za watu ni kubwa usipokuwa makini. Wafanyabiashara wengi wanacontradict mtaji na faida.
Back
Top Bottom