Point na maelezo yako hayana mashiko maana inaonekana umelalia upande mmoja na kumuombea kura lowassa lakini mtanzania wa leo sio yule wa jana! Na watanzania tunahitaji Raisi mwenye afya, mwadilifu, mfuatiliaji na mchapakazi na sio roboti ambaye hatakuongea anashindwa badala yake akina...
Kila mtu ana mazuri na mapungufu yake ila tunacho angalia nani anaunafuu kuliko mwingine! Mbona hata lowassa tenda zote za H/w monduli kampatia dada yake lkn hatusemi?, sumaye nae mbona anamiliki hekari zaidi ya 300 za shamba huko kibaigwa inamaana hayo hamuyaoni ninyi wanaukiwa!!! Hapa kazi tu!
Mbowe mfa maji haishi kutapatapa na hizi ni ishara za kushindwa uchaguzi mkuu! Sikuzote mafanikio hayana shortcut mlidhani Lowassa ndo mkombozi wenu basi imekula kwenu kwani hata yy Edo mwanzo kipindi mnamkaribisha kwenye chama cha mzee mtei alidai kura zake hazito ibiwa na atashinda asubuhi...
Tuwe na utamaduni wa kuheshimu na kutilia shaka katika kila tafiti zinazofanywa na tasisi mbalimbali kama vile TWAWEZA n.k hususa katika kipindi hiki nyeti kuelekea uchaguzi mkuu lakini tukumbuke kuwa tafiti kama hizi hazifanyiki TZ tu bali duniani kote na hasa hasa katika nchi zilizo endelea so...
Mbatia mbona sikusikii ukiongelea migogoro iliyopo kwenye chama chako? Lakini linapo kuja suala la UKAWA ww ndo unakuwa kimbelembele kulisemea, hizo ni dalili tosha za kutuaminisha sisi wananchi kuwa mnaagenda yenu binafsi na wala si kuwatumikia wananchi kama mnavyo jinadi. Sidanganyikiiiii HAPA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.