Recent content by mkwelitu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Kama ana akili kama Heche inapendeza sana kumsikiliza, kuliko angekuwa na akili kinyume cha maadui wa Heche
  2. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Jibu swali, muuaji, walimtukana nani.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Mdude, Soka, Ben Sanane, Mawazo, Lwajabe, na wa 29/10/walitukana matusi gani, yaweke matusi yao hapa tukuunge mkono, chawa mkuu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Kuna Nchi zaidi ya 200 duniani, kwanini imetajwa Danganyika tu. Kabla ya kukwepa lawama, bora angesema wanachunguza usahihi wa taarifa na tuhuma.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Ndiyo maana mezoea kutukanwa, unajichekesha kwa vimaneno vyako vya hovyo, hovyo. Watu wamekufa in thousands wewe unaleta mzaha kwa maisha ya watu. Ulaaniwe hadi kizazi chako cha 100
  6. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula aitaka Serikali ya Tanzania itoe maelezo kuhusu tuhuma dhidi yake kupeleka watu kusaidia kupora Zambia!

    Zambia nao hovyo tu. Wangewakamata kama kumi, wakiwa na passport za Tanzania wawapige picha, tuone kama wangeendelea kubisha.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo ndani ya CHADEMA, huenda John Heche akajiuzulu kabla ya kubanduliwa madarakani na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa mwezi ujao..

    Baraza la Chadema lina wajumbe wangapi ? Hata kama wako 100 X 10,000,000 ni bilioni moja tu, ambayo, mtawahonga wajumbe mchezo kwisha. Mmetuibia trillions, hamshindwi kutumia bilioni kadhaa kuwanunua watu. Kama Nasari, Molel, Lijualikali, Silinde, nk
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Aliwr Siku muungano ukivunjwa/ukivunjika ningali hai, nitauza hiki kiwanja changu, nifanye sherehe. Bora nife nikiitwa mpangaji, kuliko kujenga ndani ya muungano wenye, machungu, mateso, ubaguzi, mauaji na dharau.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Labda kwa zamani. Sasa hivi Zanzibar wanaamua mambo ya Tanganyika hata ya nje. Utasikia Rais Hussein Mwinyi kaiwakilisha Nchi ya Tanzania nje huko, wakati bado ni Rais wa Zanzibar. Kwa hiyo anakiwa muamuzi wa Mataifa mawili
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Haswa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Nashangaa kuona watu wanakamatwa na polisi, wanapelekwa mahakamani kwa shitaka ya ugaidi

    Hao wote uliowataja, hakuna aliyepigwa risasi na Serikali ya Nyerere, hata mmoja. Walisumbuana kisiasa wakafanya siasa zao, wakazeeka, wakajifia vifo vya asili. Ninyi mmechagua kuuwa kila anayewakosoa kwa risasi na mateso makali. Msijilinganishe na utawala wa Nyerere. Oneni aibu. Labda...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Salaam zako huwa zina mwangwi nyuma yake, je tusubiri yajayo ???
  13. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Nashangaa kuona watu wanakamatwa na polisi, wanapelekwa mahakamani kwa shitaka ya ugaidi

    Mwambie kwa kabila lake labda atakuelewa.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Adai kupigwa na watu zaidi ya 30 na kuvunjwa mkono kisa Kuvaa T-Shirt yenye picha ya Rais Samia

    Nafikiri boda boda, wameamua kuomboleza 29/10/2025 kivingine, hofu yangu wasizidishe maombolezo kwa namna mbaya zaidi.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Unaweza uchafu tu
Back
Top Bottom