Ndiyo maana mezoea kutukanwa, unajichekesha kwa vimaneno vyako vya hovyo, hovyo.
Watu wamekufa in thousands wewe unaleta mzaha kwa maisha ya watu.
Ulaaniwe hadi kizazi chako cha 100
Baraza la Chadema lina wajumbe wangapi ? Hata kama wako 100 X 10,000,000 ni bilioni moja tu, ambayo, mtawahonga wajumbe mchezo kwisha.
Mmetuibia trillions, hamshindwi kutumia bilioni kadhaa kuwanunua watu. Kama Nasari, Molel, Lijualikali, Silinde, nk
Aliwr
Siku muungano ukivunjwa/ukivunjika ningali hai, nitauza hiki kiwanja changu, nifanye sherehe.
Bora nife nikiitwa mpangaji, kuliko kujenga ndani ya muungano wenye, machungu, mateso, ubaguzi, mauaji na dharau.
Labda kwa zamani. Sasa hivi Zanzibar wanaamua mambo ya Tanganyika hata ya nje.
Utasikia Rais Hussein Mwinyi kaiwakilisha Nchi ya Tanzania nje huko, wakati bado ni Rais wa Zanzibar. Kwa hiyo anakiwa muamuzi wa Mataifa mawili
Hao wote uliowataja, hakuna aliyepigwa risasi na Serikali ya Nyerere, hata mmoja.
Walisumbuana kisiasa wakafanya siasa zao, wakazeeka, wakajifia vifo vya asili.
Ninyi mmechagua kuuwa kila anayewakosoa kwa risasi na mateso makali.
Msijilinganishe na utawala wa Nyerere. Oneni aibu. Labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.