Recent content by mkweli sister

  1. M

    We mwanaume unikome!

    kweli habebeki
  2. M

    Wanaume mnatongoza achaneni kabisa na haya maswali

    just magine? hivi mwanamke akikuuliza una kazi gani utajiskiaje m,kuu
  3. M

    Wanaume mnatongoza achaneni kabisa na haya maswali

    hatujakataa kuuliza ila kama unavosema sio vizuri kuuliza direct
  4. M

    Wanaume mnatongoza achaneni kabisa na haya maswali

    kama kafa kwa ngoma nitakuambia?
  5. M

    Wadada acheni kuishi maisha ya utapeli

    hahaaa haitokaa itokee mi najiheshimu bna mi nafata mziki tu
  6. M

    Wadada acheni kuishi maisha ya utapeli

    anaombwa ampangie mtu chumba mjini wakati mwenyewe hata hakai mjini . hahaaa mkuu leo twende master club kwa wazee wenzetu hakuna kupangishiana vyumba
  7. M

    Wanaume mnatongoza achaneni kabisa na haya maswali

    eti.wewe jua nipo single,na kama unataka kuwa na mimi poa tupange tunaishi vipi.mambo ya zamani ya nini? mimi nipo single nifanyeje why tuchoshane?
  8. M

    Wanaume mnatongoza achaneni kabisa na haya maswali

    kuna mambo yatajiset tu yenyewe mkuu.usipanie sana
  9. M

    Wanaume mnatongoza achaneni kabisa na haya maswali

    sijawai kuulizwa.ila hata kama mkiuliza mnadhani mtapata majibu sahihi? au mnauliza tu? mpaka unamfata mwanamke unakuwa unataka nini?
Back
Top Bottom