Hospitalini dawa hakuna,
AJIRA zimesitishwa , vijana wamejaaa mtaani hawana matumaini,
watumishi wanasononeka hawajapandishwa madaraja,hawajalipwa madai Yao,
call allowance,extral duties kwa watumishi hakuna.,kwa waganga na manesi wetu.
Wanavyuo wanalia MIKOPO hakuna .
nchi inaenda kama...