sababu ni ;
-Eneo dogo kulibana ili nyumba ya kukidhi mahitaji yafamilia iweze kutimia.
-madhari na ramani za kuvutia
-ngazi ngazi zakupandia floo ya juu inasaidia unvoluntary exercises.
-pia ni fahari kuwa na ghorofa
ikumbukwe hakuna mwanadamu asie na kasoro na mapungufu,nikusisitize usichoke kuwa na tunu za uvumilivu ,upo pale kukamilisha mapungufu ya mwenza wako, tumia busara za mazungumzo na maafikiano ili muende sambamba, Hasa hilo la kukupandishia kibezi aache mara moja ,ongea nae hakuna sehemu utapata...
Natumai mu wazima wa afya !,na hongereni Kwa ujenzi wa Taifa!
Zipo kauli za kusema Vijana ni taifa la kesho! Au vijana ni nguvu KAZI ya taifa !,hii inaleta tija na inasikika vizuri masikioni mwa wanazuoni walio wengi!
Siku hizi vijana wanakabiliwa Sana na changamoto nyingi zakimaisha na hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.