Wananchi tuwe wastahamilivu na watulivu kwani wewe unao ndugu wangapi ambao wamezulumiwa? Msiingize vyama vingine katika hiyo kesi. Kama ni makosa yake basi wacha aadhibiwe na tusubiri Makongoro nae itakuwaje kwani naye kesi inanguruma mahakamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.