Watu wa Arusha nawakubali.Lakini mikoa mingine ni wazushi tu.Wanaiunga M4c kwa maneno tu.Ukija Uchaguzi ccm inashinda.Cheki uchaguzi wa madiwani juzi kati!ccm imeshinda viti kibao.
Baada ya kuzunguka maeneo mbali mbali,Nimeona hapa ndiyo mahali ambapo naweza kukutana na jamii na kujisikia na mimi nipo kwenye hii globe yetu.Hivyo babisha hodi waheshimiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.