Mods JF inaelekea kukosa muelekeo! Hivi kuuliza katuni zilichorwa kuwa "watu hawa wako wapi" inawahusu Great Thinker's?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haikuwa mpya kwa mujibu ZITTO , lakini ndege ni mpya na kwa mujibu Wa WATAALAM , hayo ni matengenezo / marekebisho ya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
HUYU NI MPUMBAVU, SI AMETOKA LIVE AKISEMA ANAKUBALI MATOKEO? AU MNATAKA KUSEMA ALISHIKIWA MTUTU WA BUNDUKI ? ACHENI UZUSHI USIO NA KICHWA WALA MIGUU !!
Box tupu ni wewe unayekimbilia KUTUKANA badala ya kushindana kwa hoja, lete hoja ujibiwe, matusi yanafanya tujue kuwa HUKULELEWA KATIKA MAADILI MEMA ,pole!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.