Nasikitika sana kitendo kinachofanywa na jeshi la police Tanzania kwa kuendekeza njaa za kijinga kwenye madanguro.
Yaani polisi mzima unaenda danguro kukusanya mapato ili kuhalalisha umalaya, na maeneo tunayajua
Mwenye namba ya kamanda Siro anipe nitumbue eneo, muda na maeneo wanayoishi...
Hata ukitaza kwenye picha haonyeshi yupo pamoja na wenzie kama kalazimishwa vile hapo mawazo yake anawaza dodoma kwa wanae wa dhati hasira mbaya jamani…. Ila dawa ya hasira ni maamuzi magumu….. Avunje ukimya na atubu then arudi kundini atapokelewa tu.
Haiitaji hasira …… ..yaani…. . Siasa? ……...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.