Naomba Tumsaidie Mkuu wa Wilaya vitu vya kufanya mimi na wadau baadhi tumeanza na hivyo hapo
> Mradi wa maji kisarawe kutoka kiluvya kama km 15 tuu
>Awekeze nguvu kwenye kilimo cha mihogo kupitia soko jipya la Uchina na pia ufuta unastawi
>Stand ihamie kisarawe mjini kutoka buguruni
>Makao...
swali la msingi linakuja kwamba Baadhi ya waliokuwa member wa judicial organ ni wagombea katika uchaguzi huu, Mfano halisi ni Huyu mgombea urais ndugu Frank yeye alikuwa katibu wa Judicial itakapoitishwa kesi inayotaka judicial ikae yeye atakuwa upande upi?
Ikumbukwe ni jana Tarehe 31/05/2018 Chuo kikuu cha Dar es Salaam kupitia makamu mkuu wake msaidizi utawala walitoa zuio la kusitishwa zoezi la uchaguzi mkuu hadi hapo vyombo vinavyohusika (Electoral organ) vitakaposhughulikia rufaa za wagombea wawili wa nafasi za Urais Ndugu Frank Isack na...
Inashangaza sana mgombea unakata rufaa kwenda Utawala badala ya kuelekeza rufaa kwenda Bodi ya Rufaa ya uchaguzi, na hii inathibitisha kabisa kuwa kuna maelezo yametoka kutoka juu.
Nimepita viungani UDSM nikazungumza na baadhi ya wajumbe wa Tume ya uchaguzi na Pia Bodi ya Rufaa wamethibitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.