Vyanzo ni vile vile walichofanya ni kupunguza uchakachuaji mfano pugu ina uwezo wa kukusanya m20 na zaidi lakini zinazowasilishwa hazizidi 2m hivyo hakuna haja ya kuongeza vyanzo cha ni muhimu kusimamia wakusanyi wote wa Mapato ya serikari
Kweli mkuu tatizo la wabongo ni kuchanganya siasa na maslahi ya nchi fisadi yeyote ni hatari usishabikie ufisadi ueendelee kisa Fulani kaachwa kwa kukosekana ushahidi lete ushahidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.