Recent content by mkuu mweyenye adabu

  1. M

    Taasisi ya dini inavyojipotezea heshima nchini Tanzania!

    Siasa yenyewe imewashinda mmebaki mnaua watu
  2. M

    Taasisi ya dini inavyojipotezea heshima nchini Tanzania!

    Umeelezea sanaaa ila hakuna point,swali ni kwamba kwanini amani inapotaka kutoeka wanaitwa viongozi wa dini kuombea,kwa lugha nyepesi ni kwamba viongozi wa dini haitakiwi hadi nchi ichafuke ndyo wafanye maombi,bali hata viashiria tu vinatosha kuombea
  3. M

    Tanzania to fund its own projects

    Hajawahi hotokea maana kodi zenyewe kila kukicha biashara zinafungwa
  4. M

    Halima Mdee: Natamani hali iwe ngumu sana mpaka tukose Bajeti ya Ikulu

    Kwahiyo hali ilivyo hivi sasa unaona ni sahihi au ndyo stupid zaidi yetu
  5. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Binafsi naona mafanikio makubwa ni kutuongezea umasikini
  6. M

    Dodoma: Wahamasishaji maandamano wawili, tayari wametiwa nguvuni

    Badala ya kutafuta watu wasiojulikana wanadeal na raia wasio na hatia
  7. M

    Shonza: Siwezi kujibizana na Diamond

    Tulishawambia wakimalizana na sisi wata deal na nyinyi au wasanii hamkuelewa vizuri
  8. M

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Kuna lg v10
Back
Top Bottom