Umeelezea sanaaa ila hakuna point,swali ni kwamba kwanini amani inapotaka kutoeka wanaitwa viongozi wa dini kuombea,kwa lugha nyepesi ni kwamba viongozi wa dini haitakiwi hadi nchi ichafuke ndyo wafanye maombi,bali hata viashiria tu vinatosha kuombea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.