Wadau naombeni mwenye kufahamu kuhusu muda wa mafunzo ktk Chuo cha Kihonda na gharama yake tafadhali. Kwa Yeyote ambaye ameshasoma pale au anayejua kuhusu hilo. Na vipi kuhusu uwezekano wa ajira baada ya kusoma chuo hicho?? Naombeni Msaada wadau.
Sasa ww uliyoleta hii madaa!!Takukuru hapo unailaumu kwa lipi!?Unajua ukomo wa Takukuru ktk kushughulikia vitendo vya rushwaa!?Mm nafikiri ungeilaumu mahakama sio takukuru jombaaa.Takukuru haina meno jombaaa.Wakipewa meno ndio utauona mziki wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.