Recent content by mkuna mbuzi

  1. M

    Simu inauzwa

    kuna 140,000/=
  2. M

    Simu inauzwa

    nichek pm tufanye biashara mkuu
  3. M

    Bundle za internet zenye gharama nafuu

    embu nipe process mkuu
  4. M

    Duma tours ni matapeli?

    mkuu pole sana hata mimi walinitmia a same email c ile kazi za uhasibu Mimi ukinitumia issue za interview then uniambie mambo ya ela hata c,angaiki
  5. M

    Jiko linakodishwa

    Habari napenda kuwaatarifu kwamba kuna jiko linakodishwa ambapo mkodishaji anaweza kulipa kwa siku au mwezi kulingana na maelewano baina ya wahusika wawili Eneo: Mabibo karibu na Zahanati ya Mabibo,Kituo ni Mwembeni kwa mawasiliano 0629162153
  6. M

    Natafuta kazi, nina degree ya Rasilimali watu (Human Resources)

    husika na kichwa cha habari hapo juu.Mimi ni kijana wa miaka 24 natafuta kazi ya muda mfupi au hata ya muda mrefu nimesoma Rasilimali watu (HR)ngazi ya degrees nina uzoefu wa kazi kwa muda wa miaka miwili naomba mwenywe chanel anisaidie tafadhali NB: MATUSI NA DHARAHAU HAVIRUHUSIWI! Ahsanteni
  7. M

    Clinical officer(afisa tabibu) natafuta kazi

    chek zoomtanzania nimeona kazi kama yako muda c mref
  8. M

    Clinical officer anatafuta kazi

    nenda zoomtanzaniA kuna kazi wampost ivi soon
  9. M

    Je kuna stashahada na shahada ya community health?

    kairuk wanayo jarbu kucheki prospect yao
Back
Top Bottom