Elimu YETU ichunguzwe kama mtoa mada ni graduate,,, Kwa hiyo hizo Kodi na Tozo wanazotumia serikali na CHAMA tawala zinatoka Kwa watanzabnia Matajiri??? Siasa za Tanzania zimejaa watu wapumbavu
Kwa hiyo wote ambao hawana ajira serikalini hawana security??? Hili ni tusi Kwa wakulima na wafanyabiashara wa Nchi hii tunaolipa Kodi,, Inatakiwa uporwe cheti Cha chuo kama unacho Ili ubaki kuwa tegenezi maana inaonekana elimu haijakusaidia chochote Zaidi ya kuwa tegemezi Kwa serikali ikupe...
Wewe ni mpumbavu Sana yaani ualimu nayo ni kazi ya mtu kuijutia??? Walahi tuna vijana wa Hivyo Sana,,, Kuna sekondar ngapi za serikali unaweza kukuta waalimu wamekuja kazini na nje kwenye parking zimejaa RANGE,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.