Wakati mwingine vyeo ni tofauti mfano kada WA ccm darasa la saba akiwa rc au waziri WA ulinzi atapigiwa salute kuanzia cdf NA wengine, kuna vyeo vya kimuundo NA vya uteuzi, hata kama MTU ni mgambo akiteuliwa kuwa MKUU WA majeshi itakuaje
Kwan hizo b3 zinagawanwa NA wamasai gani? Wamasai wangekuwa wanapata hayo mabilion wangekuwa matajiri NA kazi za ulinzi wangeacha. Mimi nadhani wahamishe wanyama wawaachie eneo lao
Kwani zikijaguliwa NA mkurugenzi NA mwenye kadi anadaiwa ndo kusema deni litakuwa limeisha? Au mkurugenzi atawalipia madeni,au mkurugenzi atawatunzia hizo kadi wakitaka Ku draw PESA wanakwenda kwake? Mimi naamini zitakaguliwa zoezi likiisha zitarudi kwa wakopeshaji
Utaendelea kupata tabu sana kama VP muombe mrudiane, eti kademu kake kabaya unaumia kuona dushe ulilokuwa ukilitumia kutumiwa na mwingine kuwa mpole. Jiwe lililoachwa na waashi sasa limekuwa msingi.
Kama makonda amekosea huyo aliyezimia na yeye ampeleke mahakamani, kama anadhani ana haki hats ndugu zetu waliodhulumiwa hao wazimiaji ndio watoa nyaraka za uongo kama ushahidi mahakamani then tunashindwa kesi zetu wao wakitumbuliwa wanataka haki, kama no haki wangranza wao kutoa haki.Ukiua kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.