Ngoja nikuambie! Kipindi hicho pesa ya bajeti ilivyokuwa inapitia bungeni na kupangiwa mahesabu, ilikuwa inapigwa tuu, ndipo tukapata neno IFISADI. Kwa sasa pesa inatumika vizuri, miradi ya maendeleo inaonekana wazi,
Gawa wanaolaumu mgao hawana tena, ndiyo maana leo wanalialia kila siku...
Hajanyimwa pesa ya matibabu, ila kulikuwa na kotuaminiana kwa maslahi ya kisiasa na ndiyo maana taratibu ya mgonjwa kuhamishwa haukufuatwa.
Na ndiyo maana kwa hili Lisu anaonekana anatapatapa kwenye nchi za magharibi na kubwabwaja ovyo ikiwa na maana Chama chake hakikufuata utaratibu, ila...
Wajinga wenzie kama wewe ndo anatoa nondo, kwa waelewa wa mambo tunaona anapayukapayuka tuu na hana maana wala tija tena kwa taifa. Arudi bongoland tuje tupambane kwa hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa mbunifu ungetoa hilo wazo mapemaa ili lifanyiwe kazi, sio unasubiri wenzio wakutafunie halafu wewe umeze tyu! Hapana nawe kuwa mbunifu kidogo siku nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.