Mligo Augustino
Senior Member
- Nov 29, 2017
- 126
- 278
Wizara hii nyeti kwa wananchi ilikuwa hovyo sana. Hawa jamaa wamepambana sana kuhakikisha inakuwa na tija kwa Taifa. Hongereni sana. Msilegeze kamba. Makandarasi wa hovyo fukuza. Mainjinia wa hovyo fukuza. Hii ndo dawa ya wizara hii. Wizara hii sasa inanyoka na kuleta matumaini kwa wananchi.Miradi iliyokuwa haitoi maji, sasa maji yanatoka.