Kosa la Tundu Lissu ni nini?

Doto Bulendu bro. huwa pale ninapopata muda nafuatilia na napenda sana unapoongoza vipindi au mijadala pale Startv! Hongera sana. Umeongea kwa uchungu sana kama mtanzania mwingine mwenye mapenzi na Lissu..

Ninachojua mimi kama mtanzania, ilikuwani mihemko ya kisiasa ndiyo imezaa haya leo hii na kuanza kuonekana kwamba Tundu ametelekezwa na bunge ama serikali. Watanzania tumekengeuka, hatuelimishani mambo mema siku hizi.

Kuna ngazi za matibabu na utaratibu wake, kwa.mfano ukitibiwa ngazi ya zahanati na tatizo likawa chini ya uwezo wa kituo, basi mgonjwa anapewa refferal leter kwenda ngazi ya juu kama Hospital level. Pia na ngazi hiyo ikishindwa kutoa huduma kwa manufaa ya mgonjwa pia hupelekwa ngazi ya juu yake mpaka inafika ngazi ya hospitali ya taifa. Na kama hapo itaonekana kama tatizo bado lipo nje yao ndipo hao hutoa kibali cha kwenda kutibiwa nje ya nchi.

Ombi langu na mimi pia labda tuungane watanzani wot kumwomba mh. Rais maana ndiye yeye mwenye mamlaka zaidi, afanye msaada kama anavyofanya kwa watanzania wengine.
Kodi ni pesa za watanzania wote hata kama mwenye dhamana ya kuzihifadhi ni mmoja. Hapaswi kupigiwa magoti kama vile anatoa pesa ya baba yake. Tunaaibishwa mbele ya jumuia ya kimataifa jinsi tulivyo na tabia za wanyama na kuwa hatujafikia hatua ya binadamu mwenye akili.
Suala la kumnyima matibabu ni fedheha kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajanyimwa pesa ya matibabu, ila kulikuwa na kotuaminiana kwa maslahi ya kisiasa na ndiyo maana taratibu ya mgonjwa kuhamishwa haukufuatwa.

Na ndiyo maana kwa hili Lisu anaonekana anatapatapa kwenye nchi za magharibi na kubwabwaja ovyo ikiwa na maana Chama chake hakikufuata utaratibu, ila ilikuwa ni sifa na mihemko ya kisiasa.

Lisu alikuwa mgonjwa kama walivyo wagonjwa wengine, tusiwe na dhana eti kuna mgonjwa maalumu ndani ya nchi hii. Mbona utaeda huu wa awamu ya tano, tunashuhudia raisi na familia yake wanatibiwa HOSPITALI Za hapahapa.

Pia tusiweke siasa mbele kuliko taratibu ambazo tumejiwekea
Kodi ni pesa za watanzania wote hata kama mwenye dhamana ya kuzihifadhi ni mmoja. Hapaswi kupigiwa magoti kama vile anatoa pesa ya baba yake. Tunaaibishwa mbele ya jumuia ya kimataifa jinsi tulivyo na tabia za wanyama na kuwa hatujafikia hatua ya binadamu mwenye akili.
Suala la kumnyima matibabu ni fedheha kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kama anapigiwa magoti! ni utaratibu tu. Wa kawaida na uungwana. Kama alivyomtoa babu Seya au Elizabeth jela.
Kodi ni pesa za watanzania wote hata kama mwenye dhamana ya kuzihifadhi ni mmoja. Hapaswi kupigiwa magoti kama vile anatoa pesa ya baba yake. Tunaaibishwa mbele ya jumuia ya kimataifa jinsi tulivyo na tabia za wanyama na kuwa hatujafikia hatua ya binadamu mwenye akili.
Suala la kumnyima matibabu ni fedheha kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom