Nenda kambi yoyote unayoitaka utawaeleza kuwa nmechaguliwa kambi fulani kutokana na tatizo fulani nmeamua kuja hapa so no complication watakukubaliii.... So usjali hakuna ugumu juu ya hilo
Kikubwa zaidi wanawake was kinondoni mmebweteka kwani kwani unapanda gari ngapi ili ufike Temeke....
Njo TMK wanaume huku tukuonyeshe jinsi wanaume wa TMK tulivyo... Wengi wao ndio wanatuzalilisha wanaume wa Dar kwa kuwa mashoga.. matejah.. na kushindia chips kuku.. unahisi nguvu watatoa...
Amna shidah mkuu.... Kikubwa zaidi kama mfumo haujafunguliwa rasmi mengi yanaweza kutokea ktk mfumo was mtandao.... Either waweza kufanya payment isifike au ikafika ila uspate huduma stahiki hivyo kuweka tangazo Lile inawalinda kwa namna moja hau nyengne kwamba lolote litakalo tokea...
Mdogo wetu jeshi linaitaji kulipenda na kujitoa usiende jeshini kwa ushauli wa watu sababu jeshi niwito... Na usisome ili upate ajirah maisha yamebadilika soma fakati ambayo hata Kama usipo ajiliwa utajiajili na utapata hela... Jalibu kuchanganua na kufikilia kabla ya kutenda...
Sijui wanaapply vipi na kwa link gani hawa wajuvi wa mambo maana mim kila nikiapply wanasema dilisha la udahili litafunguliwa hv karibuni...... Sasa sjui nakwama wapi wakuu....!!!???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.