Siyo lazima uwe umeoa ndiyo utumie juisi ya asili (isiyo ya kiwandani)! Suluhisho la matatizo kama hayo ni kubadili mtazamo na kujenga tabia ya kutumia matunda na mbogamboga za asili.Tenga fedha na muda katika ratiba zako . Nenda sokoni nunua matunda kama vile machungwa,maembe,mapera,parachichi...
Ng'ombe jike wawili wanauzwa.Mmoja ana ndama wa miezi miwili (alipandishwa kwa chupa -AI),mwingine ana mimba anatarajiwa kuzaa Februari 2016 alipandishwa kwa (AI) naye.Pia bata mzinga na batabukini wapo.Nipo Kibaha.Mawasiliano:0719786521/0768069996
Kuna kama kampuni tatu hivi.Hebu tafuta mtandaoni kampuni hii : BALTON...? (T) Ltd kama sijasahau jina.Niliwaona NANENANE Arusha 2015.HQ wapo Mikocheni Dar.Nitatafuta vipeperushi nikupe namba za simu.Kuna za kuku 96 na 192 etc.Kama una uwezo ni nzuri sana.Bei nilizoziona ni kati ya TZS 700,000/=...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.