Recent content by Mkulima wa kawaida

  1. M

    Jimbo la Buyungu wilayani kakonko mkoani kigoma mikononi wa chadema 2015

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi wa wilaya mpya ya kakonko mkoani kigoma wameusubiria kwa hamu 2015 ili wafanye maamuzi sahihi ya kuisimika madarakani.
  2. M

    Vipande hatari vya barabara nchini

    Kigoma hadi nyakanazi km 330. Na hili ndo mtaji kwa vyama vya upinzani mkoani kigoma
  3. M

    Hoja ya Kigwangala ya kuanzisha mfuko wa vijana yakosa dira

    Wadau kama mnakumbuka Bunge lilipita liliikubali hoja ya Kigwangala ambayo ilitaka serikali kutoa bilion 2 kwa mwaka wa fedha ujao. Lakini kamati ya bunge ilipotembelea wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo walikuta hakuna fungu lililotengwa.
  4. M

    Hatua za watu wa nchi moja kuingia kwenye machafuko katika nchi.

    1. Kutokuwa na mgawanyo sawa rasilimali 2. Kulumbana juu ya udini, ukanda na ukabila. 3. Chuki baina ya kabila moja hadi lingine. 4. Mauaji yanayotekelezwa na vikundi vya watu. 5. Kulipiza kisasi .5. Mwisho vita.
  5. M

    Mwaliko wa kuhudhuria mkutano wa wadau wa maendeleo wilayani kibondo mkoani kigoma.

    Wadau wote wa maendeleo ya wilaya ya kibondo na mkoa wa kigoma kwa ujumla mnakaribishwa kwenye mkutano maalumu utakaojadili masuala ya maendeleo katika wilaya za kibondo na kakonko. Kwa undani zaidi soma attachment.
  6. M

    BRELA Documents

    Kaka ile inahitaji vitu kibao vingine vya kisheria. Mimi nimesajili kampuni ukipata tabu tuwasiliane. Tuma email yako kwenda feasibleresourcesltd@gmail.com nitakutumia fomu
  7. M

    BRELA Documents

    Kaka ile inahitaji vitu kibao vingine vya kisheria. Mimi nimesajili kampuni ukipata tabu tuwasiliane
  8. M

    Reputable Company to Make registration Smooth Here in Tz

    Contact feasibleresourcesltd@gmail.com will solve your problem as soon as possible
  9. M

    BRELA Documents

    Form no.14a na 14b zilizojazwa kikamilifu. Memorundum & Articles of association copy 3 kama shareholder mko wawili au 4 kama shareholder mko 3. Kama huna form naweza kukutumia
  10. M

    Ujio wa Rais wa China, Xi Jinping nchini Tanzania - Machi 2013

    Tunamwomba Rais wa china atusaidie hasa katika kuendeleza kilimo cha umwagiliaji pamoja na ujenzi wa barabara mfano barabara ya kigoma - nyakanazi. Pili viwanda vijengwe mfano wiwanda vya nguo ili tuache kuuza pamba ghafi. etc.
  11. M

    Msaada: Sole proprietor or limited company?

    Nitafute nitakutengenezea memorunduw & articles of association ya kampuni yako. Then nitakuelekeza kwa msajili pale brela.
  12. M

    Natembea na mume wa mtu

    Dada yangu maisha ni safari ndefu. Achana na mme wa mtu usije ukarogwa.
Back
Top Bottom