Recent content by Mkulima Ruaha

  1. M

    Je, ni kweli maisha hayana formula?

    Ha ha ha hiyo nchi ni Norway Ulaya kazi tunazozikataa tz huko ndio tunazifanya
  2. M

    Nchi 76 wanazoruhusiwa watanzania kutembelea bila ya viza

    Khaa ila wabongo tunamaneno jamani nimecheka duh...
  3. M

    Uhamiaji na Wavaa kaptula na Jeans

    Ni kweli uhamiaji wanakataza mi nilienda pale MWAKA jana nimevaa suruali nikazuiliwa kuigwa wakasema kama nataka mlinzi wa pale getini alikuwa mdada angeniazima kanga nijifunge ndio niingiie uzuri nilikuwa na mume Wangu na tulikuwa tunahitaji forms tu. Ikabidi mi nibaki ye ndo aende...
  4. M

    Ajali: Basi latumbukia mtoni na kuleta maafa

    Mto Ruaha mamba ni nyumbani kwao
Back
Top Bottom