Mwajili Mpanda alinisainia barua yangu ya ya siku 7 na kivuli cha hiyo barua yaani kopi yangu ninayo. Nikiwa Dar kabla siku 7 kuisha nimepewa barua ya kubadilisha uhamisho
Jamani naomba mwongozo kama mtu una ndoa ya kanisani na mmeishi takribani miaka 20 nakujaliwa watoto wawili mke akazingua nikapata chombo kingine cha kislamu nikafata taratibu zote nikafunga nae ndoa kislamu tukajaliwa mtoto na mke wangu wa mwanzo ningali nae je sheria inasemaje?
Nikiwa nasoma chuo bila kujua sababu nilipata barua kuamishwa kikazi kutoka Dar kwenda Mpanda na nililazimishwa niende bila kulipwa. Kweli nilienda kuripoti kwa gharama zangu nikaomba ruhusa siku 7 kurudi Dar kufuatilia malipo.
Nikakubaliwa nikarudi kulalamika kuhamishwa wakati nasoma. Wakati...
Kama umefunga ndoa kanisani mkaishi na kupata watoto miaka zaidi ya 20 mkazinguana ukaenda funga ndoa ya. Kislam kwa taratibu zote uku mke wa kwanza ungali nae hapo unatafsili vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.