Mi shule ya msing nimesoma kijijin tena porin O'level nkachaguliwa shule ya kata. Advance nmesoma Kazima. Na sasahv nko chuo kikuu nasoma na hao vilaza wa kibaha wala cjaona cha ziada walichonacho kunishnda mimi. Hayo ni mambo ya kizaman bro, ni sawa na sasahv tunavyojsfia kusoma Udsm, lakin co...
Ha! Hv ni shule! Mi nkajua ni kituo cha masomo ya ziada, pigen kaz wazee lakin wateja wenu watakuwa 4m4 failures. Hiyo nayo ni chalange u have to work on that.ha! ha! ha! ha! ha! haaaaa!
Mama wawil that is not the meaning of social network! Because even me am a victim of those phrases.please just write if you know exactly the use of these phrases i have had and i had had
Jaman naomba mnisaidia UDSM nawachukia! hv kwanin wanapenda kudharau vyuo vingne? wana upekee gani ktk raman ya wasomi dunian,wana vgezo gan vzur vya kujchukulia kama ni wasomi bora hapa nchin ? Oh! Ma God, i real hate them.
Mh! Ujue swala la kupata mkopo halina uhusiano kabsa na ufaulu wako.kikubwa upate chuo,kwsababu sifja mojawapo ya kupata loan nikuchaguliwa chuo chochote. Kwahyo hilo lickupe shda mkuu fanya maombi yako mapema!
Jaman sasa imekua ni kero, inamana kila mwanamke anayeonekana ucku akijuza ni mwanachuo? Mbona mnakuza mambo,inamana wanachuo ndo wana maisha magum kulko watu wote mpaka kufkia hatua ya kujuza. Tafakar!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.