Chahali ni mhuni tu anayedhani ana ubavu wa kuitikisa idara aliyoikuta iko imara, ajitafakari sana maana anachokifanya wala sio kipya sana na ngoma ikivuma Sana,,,,,,
If they are willing to file any lawsuit I'm fully supporting it, kiukweli hapa nakunywa nawasikitikia vijana walifanya maandalizi sana, somebody here is to blame and my fellow officers we should at least show some integrity, my heart is deeply in sorrow as I see these young souls crying
Kama vetting isingekuwepo we hapo ulipo usingekuwepo, pia jua kwamba kuna vetting na after hiyo kuna performance ya mtu ambayo inategemea utashi wake binafsi kwahiyo usimpaumu aliyefanya vetting
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.