Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,374
- 1,194
Mzee, make unatafuta peke yako,mteule anatafutwa na taasisi
Hiyo vetting inatafuta malaika? Wstu wamekuwa wajinga sana siku hizi, wanauliza urojo tu! Mke ambaye mnatafuta miaka na kwenda nae kanisani/msikitini anabadilika na unamuacha, ndo ije kuwa nafasi za uteuzi!