kwa leo sina mda wa kuandika kwa urefu. ila nina ushahidi wa wa wanaume ambao walikua na wanawake wa kupitishwa muda tu wala hawakua na future nao, ingawa walijidai wanawapenda kweli. ushauri wangu dada kama hataki kujakuposa ni bora uka muweka pembeni
pitia historia mtamkuta mmja kati ya watu wa karibu wa Mtume Muhammad ni Bilal huyu alikua ni muafrika. na katika
ria
simply ni kwa kua hawa Aliewatuma Muhammad na Issa(yesu) ni huyo huyo mmoja (Allah) na ni huyohuyo Alieteremsha vitabu kwa Mitume waliopita injili ( Issa) Zabur ( Daud) Tourat...
Uisilamu hauzungumzwi kwa mihemko bali ni kwa mmujibu wa mafundisho yake kutoka ktk marejeo yake nayo si mengine bali ni aya za Qur an au Hadithi za Mtume Muhammad Swallawahu Alayhi Wasalam
Qua an inajibu hoja yako kwa kusema " Ikiwa mnashaka na haya tulioyateremsha kwa mja wetu(Muhammad) basi leteni sura moja tu mfano wa hii Quran. na waiteni wasaidizi wenu asiekua Allah ikiwa nyinyi ni wakweli"
ndugu ipitie tena historia ya uisilamu. uisilamu haukuenea kwa upanga kama wanapropaganda mnavyo dai. bali vita vingi vilivopiganwa na waisilamu viongozwa na mtume muhammad radhi za alla ziwe juu yake zilikua ni vya kujilinda. hapa chini ni mfano wa vita hivyo.
historia inatujulisha kua...
Profession yng haikuhusu lkn ikutoshe kuaa nina ajira na assert nyengine. kilichonisukuma kuleta uzi huu ni mapenzi yangu tu ya maendeleo ya elimu Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.