Acha ujinga, ukuhoji maisha ya Sugu basi wewe humfahamu na mbilinge zake kabla ya kuwa Mbunge na hata alipokuwa Mbunge yeye sio mtumishi wa mamlaka yeyote ya kuweza kujichotea kiubadhilifu kama hao wenzako huko serikalini.
Ndio maana hakuna anayehoji utajiri wa mbunge Shabiby au Aboud! acha...
Hakuna kazi ngumu kama kupata Control number ofisi ya RTO MWANZA, pengine kuliko huduma nyingine zitolewazo na ofisi nyingine za umma pale mkoani Mwanza.
Je, hakuna suala la rushwa ndani yake?
Nchi yetu hii kweli ni kama bucha kapewa fisi ailinde.
RPC hebu wajibika sio kila siku upo kwenye TV...
Jana nimeingia Mwanza na kupokelewa Airport ili niende niendako.
Ajabu niliyokutana nayo ni baada ya kufika Pasiansi na kufuata barabara ya kuelekea Lumala hadi Kiseke.
Barabara .
Hii barabara ambayo Ina umuhimu wa Aina yake kama escape route kuwapo na msongamano katika Makongoro road (Airport...
Kama sio kanuni za JF kukataza kuitana majina ya hovyo basi wewe ninge kuita Mpumbaf na jitu la hovo kabisa. Na Nina uhakika wewe huwezi kuwa mkatoliki kama unavyo jiita.
Hija yako ni nini hasa? Na Chadema imehusikaje hapa pia huo ushoga wa Chadema umeuonea wapi? Kuna kiongozi wa Chadema amewahi...
Wakati wa Vita kuu ya pili ya Dunia , chama cha NAZI cha ujerumani kilikuwa kikubwa zaidi Duniani pengine kikishindana na cha kikomunisti cha Soviet cha CPSU.
Jee unajua kwanini sasa hivi ni aibu hata kujiita kuwa alikuwa mwanachama wake?
The same na CCM ambacho bado muda kidogo itakuwa hivyo...
ANC wakati ule wa Apartheid na wakawa wana kamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ajabu kama wafanyavyo CCM ilibidi wafanyie kazi nje ikiwapo hapa Tanzania. Pengine ulikuwa hulijui hilo maana ulikuwa hujazaliwa au elimu yako ni ndogo kuelewa na kusoma historia.
Mwenye aibu ni wale wabambika kesi...
Yanga hizi mbinu za kipumbavu ndizo zinawa fanya mfanye mambo ya kijinga kama kuchangia shughuli za siasa hadi kuweka rehani usalama wa club kuazibiwa na FIFA.
ACHENI UTOTO
Hivi kuidhinishwa kuwa mwenyekiti baada ya bosi kukata kamba ni sawa na kupigia kura majina matatu yanayotaka kugombea urais?
Mnatia aibu vijana mnapotaka kutafuta vitu vya kudanganya umma maana hamshirikishi ubongo mlionso
Mazoea yamekuwa desturi, baada ya kuchangia kwa miaka mingi mifuko hiyo hadi kustaafu sasa wastaafu ndio wana kumbana na adha ya kupewa pesa zao utadhani wanaomba kazi upya.
Kwanza wanacheleweshewa wakati mifumo ya kustaafu inaeleweka mwezi mmoja kabla mtu hajastaafu.
Sasa kesha toka kazini na...
Kumbe Hatuchezi ni project ya CCM kuitumia Yanga kujaribu kupotezea moto wa majadiliano ya NO REFORMS NO ELECTION?
Kama ni hivyo viongozi wa Yanga wanataka huo ubunge kwa kupitia damu za wana yanga wanaotekwa na kuuwawa au ndugu zao.
Kila mwana Yanga mwenzangu nwenye akili timamu asikubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.