Mkuu nashukuru sana kwa mchango wako
Mimi kule rufiji nilikuwa na mwarabu sio mchina wa sino hivyo certificate niliyo nayo ni ya Arab contractors & elseweedy ingawa hapo ubungo interchange nilifanya na kampuni ile ya kichina CCECC na certificate yao ninayo Tatizo la hapo ulipo taja...
Wakuu habari Majukumu!
Wakuu Mimi ni fundi Ngungwa (Kibarua),
Nimefanya kazi Mradi wa Mwalimu Nyerere Rufiji lakini toka nimalize mkataba wangu kule mwezi wa 9 mwaka jana sijapata kazi yoyote ya kunipatia liziki.
Kuna mradi huwa nafuatilia hii sasa ni wiki ya pili bila mafanikio...
Hivi kuna mtu humu hafanyi mining ya PI ?
Tafadhali chukua link hiyo mapema
Mambo ya kutekana tekana baadae mgodi ukishatema sisi hatutaki wakati link ya bure ulipewa
Pi Network - Home Page and use my username (Gershoms) as your invitation code.
Baada ya kuingia sokoni hutakua na...
Mkuu kuhusu Mwamposa kwenda hospitalini hata Bwana Yesu hakuwafuata wagonjwa isipokuwa wagonjwa ndio walio mfuata, na wale waliokuwa hawawezi kabisa walibebwa na ndugu zao kwenda kwa Yesu . ikumbukwe kuwa Tiba ya maombi ni Imani kwanza kisha unachukua hatua ili kuyaendea hayo maombi...
Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda okoa mstakabali wa maisha ya binti huyu.
"Kaka Yericko pole na Majukumu, Naomba kaka nisaidie, mtoto huyu kwenye picha anaitwa SIFIKA DANIELY RUBEN, naomba apate Haki zake, Ipo hivi kaka, Nilikuwa natafuta binti wa kazi za ndani, Nikapata binti kutoka...
Wakuu huu Mimi natafuta wimbo huu wa jamani sana maneno yake yanaimba hivi:- Mama mdogo alinichukua kijijini alimuahidi mengi Dada yake, yakwaba atanisomesha na kuyajari maisha yangu ya baadae ,Tulipofika mjini akanigeuzia kibao.
Wakuu kwa yeyote atakae nifanyia msaada nikaipata nipo tayari...
Wakuu huu Mimi natafuta wimbo huu wa jamani sana maneno yake yanaimba hivi:- Mama mdogo alinichukua kijijini alimuahidi mengi Dada yake, yakwaba atanisomesha na kuyajari maisha yangu ya baadae ,Tulipofika mjini akanigeuzia kibao.
Wakuu kwa yeyote atakae nifanyia msaada nikaipata nipo tayari...
Taarifa kwa wanachama wote wa zamani wa jukwaa la Dealno1.
Ndugu zetu Watz wameunda group kujaribu kuangalia kama inawezekana kurudisha pesa zetu zilizoko Dealno1.
Pia walipendekeza tovuti nyingine mpya ambayo bado inajaribiwa, ambayo inaaminika iliundwa na waanzilishi wa zamani wa Dealno1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.