Recent content by MKONGORO

  1. MKONGORO

    Naomba Connection katika kazi za ujenzi

    Mkuu nashukuru sana kwa mchango wako Mimi kule rufiji nilikuwa na mwarabu sio mchina wa sino hivyo certificate niliyo nayo ni ya Arab contractors & elseweedy ingawa hapo ubungo interchange nilifanya na kampuni ile ya kichina CCECC na certificate yao ninayo Tatizo la hapo ulipo taja...
  2. MKONGORO

    Naomba Connection katika kazi za ujenzi

    Wakuu habari Majukumu! Wakuu Mimi ni fundi Ngungwa (Kibarua), Nimefanya kazi Mradi wa Mwalimu Nyerere Rufiji lakini toka nimalize mkataba wangu kule mwezi wa 9 mwaka jana sijapata kazi yoyote ya kunipatia liziki. Kuna mradi huwa nafuatilia hii sasa ni wiki ya pili bila mafanikio...
  3. MKONGORO

    Je, ni sahihi Polisi kupigana hadharani?

    Kupigana hadharani ni kosa
  4. MKONGORO

    Hivi humu kuna mtu hamine PI?

    Hivi kuna mtu humu hafanyi mining ya PI ? Tafadhali chukua link hiyo mapema Mambo ya kutekana tekana baadae mgodi ukishatema sisi hatutaki wakati link ya bure ulipewa Pi Network - Home Page and use my username (Gershoms) as your invitation code. Baada ya kuingia sokoni hutakua na...
  5. MKONGORO

    Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

    Mkuu kuhusu Mwamposa kwenda hospitalini hata Bwana Yesu hakuwafuata wagonjwa isipokuwa wagonjwa ndio walio mfuata, na wale waliokuwa hawawezi kabisa walibebwa na ndugu zao kwenda kwa Yesu . ikumbukwe kuwa Tiba ya maombi ni Imani kwanza kisha unachukua hatua ili kuyaendea hayo maombi...
  6. MKONGORO

    Kilimanjaro: Naomba tumsaidie Mwanafunzi Sifika Daniely Ruben apate haki yake na arudi shule

    Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda okoa mstakabali wa maisha ya binti huyu. "Kaka Yericko pole na Majukumu, Naomba kaka nisaidie, mtoto huyu kwenye picha anaitwa SIFIKA DANIELY RUBEN, naomba apate Haki zake, Ipo hivi kaka, Nilikuwa natafuta binti wa kazi za ndani, Nikapata binti kutoka...
  7. MKONGORO

    Msaada natafuta motherboard ya Tv Panasonic

    Mkuu ulifanya vibaya kutupa ungeleta hapa hapa ni mwisho wa matatizo yote soon mimi nitaipata tu ngoja waje wataalamu
  8. MKONGORO

    Msaada natafuta motherboard ya Tv Panasonic

    Wakuu habarini za majukumu! Natafuta mother board ya hii Tv panasonic tafadhali naombeni msaada kwa mwenye kujua wapi naweza ipata 0683965391
  9. MKONGORO

    Msaada wa internet setting simu ni sumsung galaxy S10

    Wakuu naombeni wataalamu mnisaidie internet setting simu yangu ni Sumsung Galaxy S10 laini ni ya tigo yaani haipandishi data network ,Asanteni
  10. MKONGORO

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wakuu huu Mimi natafuta wimbo huu wa jamani sana maneno yake yanaimba hivi:- Mama mdogo alinichukua kijijini alimuahidi mengi Dada yake, yakwaba atanisomesha na kuyajari maisha yangu ya baadae ,Tulipofika mjini akanigeuzia kibao. Wakuu kwa yeyote atakae nifanyia msaada nikaipata nipo tayari...
  11. MKONGORO

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wakuu huu Mimi natafuta wimbo huu wa jamani sana maneno yake yanaimba hivi:- Mama mdogo alinichukua kijijini alimuahidi mengi Dada yake, yakwaba atanisomesha na kuyajari maisha yangu ya baadae ,Tulipofika mjini akanigeuzia kibao. Wakuu kwa yeyote atakae nifanyia msaada nikaipata nipo tayari...
  12. MKONGORO

    Deal no1 Yaliza watu

    Taarifa kwa wanachama wote wa zamani wa jukwaa la Dealno1. Ndugu zetu Watz wameunda group kujaribu kuangalia kama inawezekana kurudisha pesa zetu zilizoko Dealno1. Pia walipendekeza tovuti nyingine mpya ambayo bado inajaribiwa, ambayo inaaminika iliundwa na waanzilishi wa zamani wa Dealno1...
  13. MKONGORO

    Tunatoa huduma ya Uchapishaji

    Hallo?
Back
Top Bottom