Recent content by MKONGORO

  1. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

    Hata yesu Alipo mponya yule kipofu alitumia tope kidogo lakini pia sio kila anaetumia dawa hupona wengine hufa Ndio maana hospitalini kuna mortuary Hivyo kwa imani yake pamoja na kutumia Dawa Bado anaamini ameponywa na YESU
  2. MKONGORO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

    Hiyo sio adabu mkeo kumtengea kijana mdogo msosi Lakini pia kwa tabia za baadhi ya wa mama mtu pekee anaeweza kuishi hapo kwa amani ni mtu kutoka upande wa kwao
  3. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

    Katika maisha kuna mzunguko wa vitendo tunavyo fanya sasahivi baadae vitendo hivyo huturudia sisi yaani ukiwasafiri wazazi wako wakakosa msaada huko mbeleni kuna uwezekano na wewe watoto wako waka kusafiri pia Hapo tujifunza kwamba hapo Huyo mama mwaipaja analipwa kwa vitendo alivyo...
  4. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

    Ipo hoja inaendelezwa kutoka kwenye Makala yangu ya juzi licha ya kuijibu vizuri katika makala ile ya kwanini Tundu Lissu hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema taifa, Wanajenga hoja ya kujirudia Kwamba Lissu chama kilionw anafaa kuwa Rais wa Jamhuri yenye Majeshi JWTZ, Usalama wa Taifa...
  5. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

    K Kwa hiyo CHADEMA chini ya utawala wa MBOWE mnapo panga mipango ya kuingia kwenye michuano ya uchaguzi wa Rais huwa mnaingia kujaribu tu huku mkijua hamtoshi? Nyie watu mnachezea vichwa vya Tanzania kabisa, Yaani baadhi ya watu wamepoteza maisha katika kuunga mkono harakati zenu kumbe...
  6. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo

    Dada apewe maua yake inaonyesha ni jinsi gani jamii ya wafanyabiashara wenzie wanavyo muamini sana angekuwa haaminiki asingeweza kukusanya pesa nyingi namna hiyo kwa muda mfupi wanao mfahamu angekuwa haaminiki hata elfu kumi asinge pata na kwa kiasi kikubwa walio changa ni wafanyabiashara wenzie...
  7. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

    Mkuu Ushimen si ndie majina yake ya ukweli kwa ufupin ni J M? Aise kama ndie nitajitahidi sana kufika muhimbili aise huyu mwamba ana moyo wa utu sana alinisaidia sana mpaka majina yake halisi nika yajua kutokana na miamala ya pesa alizo kuwa akiniwezesha Mkuu Ushimen si ndie majina yake...
  8. MKONGORO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume watu wazima hupenda vibinti vidogo?

    Jibu ni rahisi siku zote gari bovu huvutwa kwa Gari zima
  9. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Wakuu angalieni kazi ya mwana jf mwenzenu mnipe kazi

    😄 Mimi ni mkubwa nil Inaweza fanyika kwa jengo lolote pia gharama inategemea na aina ya Mawe unayotaka maana yapo yanayo agizwa toka Tanga, Babati na kwingineko
  10. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Wakuu angalieni kazi ya mwana jf mwenzenu mnipe kazi

    Amin!
  11. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Wakuu angalieni kazi ya mwana jf mwenzenu mnipe kazi

    Nashukuru sana mkuu
  12. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Wakuu angalieni kazi ya mwana jf mwenzenu mnipe kazi

    Wakuu mimi ni zao la hapa JF mara kadhaa Jf imekuwa kimbilio langu pale nilipo yumba kiuchumi nika kimbilia hapa niliweza kusaidiwa vya kutosha wachache wanaweza kukumbuka jina Mkongoro mwaka 2015. kwa muda mrefu nimejifua katika decoration za mawe na sasa nathubutu kusema nimeiva...
  13. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

    Hii video ngoja niifute tu aise yaani kila nikiiangalia inatia huruma njemba 5 mpaka dada wa watu analia anaomba apewe maji ya kunywa
  14. MKONGORO

    JamiiForums Tanzania Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Huo uzima na pengine kipato ulicho nacho ndio kina kufanya uwaze hivyo kuwa kila jambo liko under your control. Walikuwepo akina Kingunge walikaza fuvu kuwa hawaamini katika uwepo wa MUNGU mauiti ilivyo karibia wanalia waitiwe Watumishi wa MUNGU na kuongozwa sala ya Toba na tulishuhudia Mazishi...
Back
Top Bottom