Asilimia mkubwa ya wachangiaji mnaonekana kufurahia kitendo cha mashoga wa kizungu kumwita Balozi wetu, badala ya kulani vitendo vya kishoga. Mngejua ni jinsi gani inauma unapoona wanao wa kiume amekuwa shoga, msingeshabikia vitendo hivyo. Nawapeni pole sana, naungana na aliyesema kuwa dunia...
A cha hoi laughs ya one ma
Acha hii lugha ya kusema 'one man show,' kuwa ndiyo tatizo. Tawala zilizopita ilikuwa zinategemea ushauri wa wapambe wao na wengine kuruhusu kila kitu, nini tulichovuna katika kipindi hicho? Tunataka mtu anayechukua maamuzi magumu kwa manufaa ya taifa ili kuleta...
A cha mawaz
Acha mawazo finyu kuwa Katiba ndiyo itakuletea maendeleo binafsi. Kenya ina Katiba nzuri, lakini watu wake ni masikini na kuna vitendo vya rushwa na ufisadi wa hali ya juu. Ukabila ndo usiseme, watu wapo kimajimbo na makabila kiasi cha kutaka hata kubadilisha Katiba waliyonayo...
Jaman
Jamani, hata kama hamuipendi Tanzania kwa vile inaongozwa na JPM, ni vyema mkasoma taarifa zinazotolewa na vyombo vya nje kwa makini. Hilo daraja linalalamilkiwa na wananchi kwa ufisadi mkubwa uliofanywa na nchi ya China na pia wananchi wanatakiwa kulipia dola 3 sawa na Tshs.6,500 kuvuka...
Hivyo, watenda
Mmmmmm! Kumbe watendaji wa World Bank kumbe ni mashoga na wasagaji. Mungu waadhibu watu hao ambao wanakiuka uumbaji wako. Sham upon those intatain this behaviour
Kweli umedhihirisha kuwa Chadema ina watu ambao upeo wao wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo sana. Kichwa cha habari na mambo uliyoyaandika ni vitu viwili tofauti kabisa. Umeleta hisia na mihemuko yako bila kutofautisha mambo. Nyerere kuwepo kwa muda mrefu wakati wa mfumo wa chama kimoja...
Nimesoma mtizamo wa mtoa mada na wengi weliochangia wanampongeza. Lakini kitu ambacho Watanzania wanalalamika ni kupungua kwa mzunguko wa fedha. Kwa uelewe wangu mdogo, money laundering kama inafanyika nchini, ndiyo inayoongeza mzunguko wa fedha, siyo kinyume chake. Kama zitatungwa sheria za...
Wewe unaonekana unatumiwa na watu ambapo hawaitakii nchi yetu mema, kwani hoja zako unazozileta humu Jf ni za kichochezi na za kutaka kuwachonganisha wananchi na serikali. Acha hayo, ipo siku utakuja kujutia kwa kuiombea mambo mabaya nchi yetu. Ushindwe kwa jina la mungu wako
JK alihudhuria kila mkutano hata ule ambao alitakiwa kutuma mwakirishi, nini cha maana tilichokipata katika utawala wake. Mlimwita Vasco da Gama, mzee wa kusafiri huku nchi ikibaki masikini. Tuache ulimbukeni wa kufikiria kwenda nje ndo ujanja au sifa ya Urais. Suala la lugha, siyo muhimu...
Acheni mawazo finyu, tunasikia kinachotokea Zambia, hiyo ni kutegemea misada ya wachina na mabeberu wa magharibi. Hawa watu wanataka takwimu zetu ili wazitumie kwa manufaa yao. Hivyo, sheria inawanyima nafasi hiyo. Watu wanasema 'No data no right to speak'. Waache wabaki na fedha zao, nasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.