Bro starting from cold world War. Cuban missiles na Turkey military base ya marekan. Mpk kufika kwa Gorbachev Rais wa 8 wa shirikisho la ussr kuja mpk kuisambaratisha ussr hatuwezi kusema kuwa 1997 Russia ilikuwa na uchumi mbovu. Hapana mifumo ilisababisha hayo yote na kutokana na upuuzi wa...
Kwa akili zako Estonia, Lativia na Lithunia wana ardhi kubwa kama ilivyo Ukraine? By the way wale walijiunga NATO Putin aliwa hayuko madarakani na kwa taarifa yako 1997 Putin angekuwa madarakani wale wapuuzi wasingejoin NATO
Brother yaani umenisema mimi kabisa bila hata kubakiza neno moja. Nina mahindi gunia 445 nimenunua kwa bei ya 50,000/= na soko halipandi. Hapa najikaza kiutuzima
Peleka huo ujinga kwenu.
Imekuwaje sasa mnakuja kununua kwetu if it worth nothing katika soko lenu huko Nairobi can you at least think before you write
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.