Hii habari inaonekana Millard Ayo tu sidhani kama ni ya kweli? Mapinduzi gani rais anapewa siku 45 hapo si unampa muda wa kujipanga kubakia!! Hii habari siyo ya kweli
Yaa naye alikuwa vizuri sana, Condoleezza Rice amefanya kazi kwenye mazingira magumu sana kipindi cha vita ya Iraq baada ya Collin Powel kujiuzuru.Kipindi hiki dunia ilikuwa imegawanyika kutokana na uvamizi wa marekani nchini Iraq.Lakini huyu mama alijitahidi sana kufanya kazi yake, moja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.