Kula wake za watu dah!! Ile nimemla jioni ya saa kumi na moja saa mbili anahamia kwangu na mabegi eti mumewe kamfukuza😁 ilinitoka pesa nyingi hadi kesi kuisha nikaapa sili tena forever japo ni warahisi kuwala
Baada ya siku 90 nitaleta maelezo kamili kuhusu;
1.Historia yake ilikuwaje akawa shoga(nimemuuliza kanipa maelezo kidogo ila taratibu atafunguka kamili nimempa muda)
2. Mrejesho kuhusu nimeupokeaje ushauri kuhusu hili jambo kutoka kwa wadau tofauti tofauti hasa humu jukwaani
3.Hatua...
Habarini za mchana, mwendo ni ule ule oktoba hakuna uchaguzi utayeyuka shwaaa🤓 yatatokea mauza uza
Uzi huu utaangazia mauzauza hayo hili la leo la kuipa vikwazo JF litahamasisha zaidi wana jamiiforums kujua hawapo salama
Ni matumaini yangu wanajukwaa wengi wamechukizwa sana na wataanza...
Elewa hivi hii ishu imenitatiza sana ndo mana nikaileta humu suala la shoo mbovu ni matokeo ya hili suala
Je? Ushawahi pitia changamoto ya ndugu yako kuwa shoga, ulifanyaje ?
Msaada tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.