Recent content by Mkoba wa Mama

  1. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Leo hadi mchungaji amenitolea mfano kama kijana mtanashati and handsome.

    Weka picha yako hapa tuone, mambo kwa ushahidi 😂
  2. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Hayati Magufuli na Rais Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Haswa, ili wananchi waamue nani ni nani
  3. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Hayati Magufuli na Rais Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Mimi sijamsifu mtu yeyote, nimesema: TOFAUTI KATI YA,
  4. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Hayati Magufuli na Rais Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Kama hakuna kugombana, amwache huru Lissu
  5. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Hayati Magufuli na Rais Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Magufuli alibadili baadhi ya majina ya wagombea ubunge walioshinda kura za maoni na kuteua wengine ili kuweka mambo sawa ndani ya chama na kwenye majimbo husika. Sababu ni kwamba baadhi ya majimbo wabunge walikuwa wameyageuza kama mali yao binafsi, au kulikuwa na mpasuko mkubwa miongoni mwa...
  6. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Serikali inaruhusu watoto waendelee kwenda shule wakati wa likizo kumbe ina ajenda yake

    Ndio maana Serikali inayoongozwa na CCM hawasemi chochote kuhusu malalamiko ya wazazi na wanafunzi kuhusu utaratibu huu mbovu wa kuendelea kubakiza watoto shuleni wakati wa likizo, ili wafanikishe ajenda zao. Huko Simiyu watoto wa shule za sekondari ambao hawakufunga wamekusanywa wote na sasa...
  7. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Faatilieni ziara ya Raisi Samia huko kanda ya ziwa kashaanza kunena kwa lugha.

    Wewe na nani? Isemee nafsi yako bhana, usitusemee na wengine
  8. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania "Wanawake Wenzako". Hii Ni Kauli Ya Dharau Sana Iliyotolewa Na Luhaga Mpina Kwa Amiri Jeshi Mkuu. Imeniudhi Sana

    Siku nyingine andika kwa nafsi yako mwenyewe usiandike kwa nafsi ya wingi utafikiri tumekutuma. Mnakera sana na huu upumbavu wenu, kutetea vitu vya kishenzi shenzi tu ambavyo havina maana, mnashindwa kutetea mambo yenye manufaa kwa taifa. Sasa kuitwa mwanamke kuna shida gani, ukiwa Rais ndio...
  9. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Bunge halitungi Sheria

    Rais anasaini sheria au Rais husaini Muswada wa sheria?
  10. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania 1. No reform no election 2. Octoba tunatiki

    Umeambiwa andika namba au maneno yaliyopo kwenye namba, wewe unaanza kutoa wosia utafikiri hicho ndio umeambiwa ufanye
  11. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania 1. No reform no election 2. Octoba tunatiki

    Mbona maelezo mengi, umeshindwa nini kufuata tu maelekezo, ndio maana huwa mnafeli.
  12. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania 1. No reform no election 2. Octoba tunatiki

    Mbona hufuati maelekezo, huoni ndio kushindwa kwenyewe huko kwa sababu ya kutokuzingatia maelekezo madogo tu kama hayo. Wapi Mungu na shetani hapo?
  13. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania 1. No reform no election 2. Octoba tunatiki

    Usiandike kingeni chochote zaidi ya namba moja au mbili kadri ya mtazamo wako, kama huwezi kuandika namba, basi andika maneno yaliyopo aidha kwenye namba moja au mbili. Usiandike namba zote kwa wakati moja, chagua namba moja tu. NB: kama huwezi kufuata utaratibu, pita kama vile hujaona...
  14. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Wenye majina ya Kelvin huwa hawakui?

    Mungu azidi kumuweka
Back
Top Bottom